Asante kamanda kwa magazetiMichezoni Leo....![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kwa kuwa amekuwa frustrated na matokeo ya Kagera? Hiyo mechi lazima ashinde tuNaona simba anavyokalishwa tena Leo!!
Ameshajichukulia yeye ni dhaifu kupigwa tu!!!Kwa kuwa amekuwa frustrated na matokeo ya Kagera? Hiyo mechi lazima ashinde tu
Salama mkuuHabari za asubuh wanafamilia
Umekaa kinafikiiWimbo mpya wa Diamond BOLA NIKAE KIMYA tayr mtaani kwa hali inayoendelea tz![]()
AmeeeeeeeeeniiiiiiHabari ya asubuhi Kapuku's
Good morning Kapuku's
Bom dia Kapuku's
Bonjour Kapuku's
Shalom Kapuku's
Ni siku nyingine tena tumepewa na Muumba wa mbingu na nchi si kwa kuwa tumekuwa wema kwake Bali ni kwa rehema zake ili tuweze kumsifu na kumtukuza yeye.
Ewe Mungu baba ukakae nasi sote familia ya kapuku utupatie nguvu na uwezo wa kupambana na vikwazo vilivyo mbele yetu, tunakuomba baba ukawanyooshee mkono wako wa baraka wagonjwa wote waliopo mahospitalini na majumbani, pia ukalibariki taifa letu na dunia yote kwa ujumla.
Tunaomba hayo kwa njia ya mwanao mpendwa Yesu kristo Amen.
Pamojaa mkuuAhsante mkuu lee kwa magazeti mubashara na unbelievable facts
Baadae tutaangazia baadhi ya habari kwa mapana yake.
Kwanza tukapate kujua ratiba za leo tarehe 8/4/2017 michezo ni mingi tukianzia hapa nyumbani mpaka ulaya karibuni sana
Leo ataingia uwanjani na approach ya winning only 60% anashinda hiyo gameAmeshajichukulia yeye ni dhaifu kupigwa tu!!!
Tuko pamojaaAsante kamanda kwa magazeti
Ameeeeeeeeeniiiiii

Nzuri mkuuHabari za asubuh wanafamilia