Makapuku Forum

Makapuku Forum

Italy Seria A
4b39b84c368cd84d9c8b8a0897ed653c.jpg

Germany Bundesliga
eb168c918402109f5391246152d2474d.jpg
Mechi ya kisasi Bayern vs Dortmund
 
Ratiba ya mechi za kufuzu UEFA nchini Ubelgiji
f51c298a8f0724cb07e79123e8d726ed.jpg

Kila la kheri KRC GENK

EPL
c9a8a47061a2dafaab39005e74324c47.jpg

Stoke City vs Liverpool ni tough game kwa siku ya leo
France league 1
0edbfce32801731dccf8442e92cf6caa.jpg

Je Monaco ataendeleza ubabe?
Kweli mkuu Leo EPL stoke na Liverpool mechi ngumu bila kumungunya maneno na ebu tujikumbushe kilichompata liver majuzi,,,,, mchezo wa awali pale Goldsand ulikuwa mgumu sana kwa Liverpool na Bournemouth.... Bournemouth wanavuna jumla ya alama 4 kwa Liverpool na hii inadhihirisha ubora wao katika kukaba sambamba na kushambulia....... Ila pia inadhihirisha udhaifu wa Liverpool katika kufeli kwa gengepressing ndani ya mbinu za Eddie Howe.

Navoamini stoke ni miongoni mwa timu ngumu kabisa ambazo hutakiwi kukutana nazo wakati unahitaji alama muhimu iwe nyumbani au ugenini pia wakati unawakosa wachezaji wako muhimu katika timu....my note kwa wale wapendwa wa mhindi Kama unahitaji kumuua Leo ebu geuza mkeka na ikibidi jifanye hili goma umelisahau ila uzuri tunafanya kwa utashiii

Tukutane baada ya kipenda kuedit post

Liverpool ........-..... S/city
 
Jana shunie kuna paali alimquote nakumuita baby

Lakin aliomba radhi na mambo yakaenda sawia mkuu
Hahaaa Mzee mkavu $h ngap unalipwa?
Eeeeeeh alimuitaa nani??

Je aliyeitwa ulimfanyiaa kazi ???
Hatukukosea kukuita Jux kabisa.
Alimwita rogie

Hapana sikudil nae nilitaka kujua je? Shunie kajichanganya au alikuwa seleous nikafanya investigation nikabaini hakuna kinachoendelea ....

Ni hayo tu mkuu
Haya Bodyguard from Beijing endelea na kazi.
 
Habari ya asubuhi Kapuku's
Good morning Kapuku's
Bom dia Kapuku's
Bonjour Kapuku's
Shalom Kapuku's


Ni siku nyingine tena tumepewa na Muumba wa mbingu na nchi si kwa kuwa tumekuwa wema kwake Bali ni kwa rehema zake ili tuweze kumsifu na kumtukuza yeye.

Ewe Mungu baba ukakae nasi sote familia ya kapuku utupatie nguvu na uwezo wa kupambana na vikwazo vilivyo mbele yetu, tunakuomba baba ukawanyooshee mkono wako wa baraka wagonjwa wote waliopo mahospitalini na majumbani, pia ukalibariki taifa letu na dunia yote kwa ujumla.
Tunaomba hayo kwa njia ya mwanao mpendwa Yesu kristo Amen.
Ameeeen kaka paroko.
Uko poa lakini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom