Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Good morning sir uwe Na siku njemaGoodmorning guys
Njema Mimi nipo salama namshukuru MunguHabari za asubuhi sweetheart, mume wa ndoto zangu jamani!!!!
Habarini za asubuhi wana kapuku, naamini mko salama......
Muwe na jumamosi njema, nawapenda wote.....
T mume wangu, you don't know how much I love you sweetie!!! Naomba uamke hubby tusali!!!
Amina, uzima ndo la muhimuNjema Mimi nipo salama namshukuru Mungu
Sijapata kuusikiaUmekaa kinafikii
Muite mchuchu mama mchungaji mbona unaficha fichaGood morning sir uwe Na siku njema
Alaa kumbe, asante sana! Sikuwa nimejua.Hongera mkuu kwa 159k
![]()
![]()
![]()
Morning shem wane wa ukweliAmina, uzima ndo la muhimu
Tumsifu Yesu kristoNjema Mimi nipo salama namshukuru Mungu
Pamoja mkuuNzuri mkuu
Kweli mkuu Leo EPL stoke na Liverpool mechi ngumu bila kumungunya maneno na ebu tujikumbushe kilichompata liver majuzi,,,,, mchezo wa awali pale Goldsand ulikuwa mgumu sana kwa Liverpool na Bournemouth.... Bournemouth wanavuna jumla ya alama 4 kwa Liverpool na hii inadhihirisha ubora wao katika kukaba sambamba na kushambulia....... Ila pia inadhihirisha udhaifu wa Liverpool katika kufeli kwa gengepressing ndani ya mbinu za Eddie Howe.Ratiba ya mechi za kufuzu UEFA nchini Ubelgiji
![]()
Kila la kheri KRC GENK
EPL
![]()
Stoke City vs Liverpool ni tough game kwa siku ya leo
France league 1
![]()
Je Monaco ataendeleza ubabe?
Salama mkuuSalama mkuu
Umeamkaje
Hahaaa Mzee mkavu $h ngap unalipwa?Jana shunie kuna paali alimquote nakumuita baby
Lakin aliomba radhi na mambo yakaenda sawia mkuu
Hatukukosea kukuita Jux kabisa.Eeeeeeh alimuitaa nani??
Je aliyeitwa ulimfanyiaa kazi ???
Haya Bodyguard from Beijing endelea na kazi.Alimwita rogie
Hapana sikudil nae nilitaka kujua je? Shunie kajichanganya au alikuwa seleous nikafanya investigation nikabaini hakuna kinachoendelea ....
Ni hayo tu mkuu
Mkuu mke anaumaaHahaaa Mzee mkavu $h ngap unalipwa?
Hatukukosea kukuita Jux kabisa.
Haya Bodyguard from Beijing endelea na kazi.
Mkuu uko poa?Kumekucha salama mkuu
Hahaaa nipe namm hio kazi.Mkuu mke anaumaa
Niko poa mkuu heshima kwako kiongoziiMkuu uko poa?
Habari za asubuhi hope uko bomba.
Ameeeen kaka paroko.Habari ya asubuhi Kapuku's
Good morning Kapuku's
Bom dia Kapuku's
Bonjour Kapuku's
Shalom Kapuku's
Ni siku nyingine tena tumepewa na Muumba wa mbingu na nchi si kwa kuwa tumekuwa wema kwake Bali ni kwa rehema zake ili tuweze kumsifu na kumtukuza yeye.
Ewe Mungu baba ukakae nasi sote familia ya kapuku utupatie nguvu na uwezo wa kupambana na vikwazo vilivyo mbele yetu, tunakuomba baba ukawanyooshee mkono wako wa baraka wagonjwa wote waliopo mahospitalini na majumbani, pia ukalibariki taifa letu na dunia yote kwa ujumla.
Tunaomba hayo kwa njia ya mwanao mpendwa Yesu kristo Amen.