Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkuu huu uzi unachekesha sana
Kuna kipindi unaweza fikiri thread inakufa lakini ghafla wanaibuka makapuku wapya wenye hasira wanakinukisha mbaya

Mi nilikaa chini nikishirikiana na Baily5 nikaamua kuleta kitu ambacho kitaiteka Jf nzima baada ya kugundua watu wengi wamekosa sehemu ya kupiga stori kwa uhuru badala yake wanaharibu thread za watu kwa kuanzisha mazungumzo yao binafsi nje ya mada
sasa thread za members maarufu mtu ukiingia kupiga stori ilikuwa ni km unajipendekeza maana unapotezewa mazima yaani wanapeana kick kivyao wkt hawana swaga

.......
Ukienda kwenye thread ya mtu ukapiga stori unakula ban sasa hivi..

Bora hapa kijiweni kwetu makapuku..!
 
Sasa hivi inakuwa kali manake scofield/kaniel outis ameungana na ISIS kina linc na C-note wanataka wamtoe gerezani jamaa amewakana na anadai hawafahamu..

T -bag anapatiwa prosthetic Hand ambao unafanya kazi kama mkono wa kawaida baada ya kukatwa mkono na John Abruzzi wakati wanatoroka Fox river..

T-bag anagundua kuwa matibabu hayo yamelipia na mtu anajiita Outis ambaye ndie michael scofield

Imekaa patamu...

Mondray atakuwa amenielewa hapa.
Ahsante mkuu ngpja niipakue nikipata dabo bando.
 
_*Wiki mbili baada ya harusi,Mama alimuuliza Bintiye,Vp maisha ya ndoa? mtoto akajibu, Du kama British Airways. Mama akatoka mpk airport kuangalia ratiba akakuta inatua kwa wiki mara 7, na ktk kila siku 1 inaenda trip 3, na ktk kila trip 1 inasimama vituo 7 na kila ikitua inafikia nyuma ya uwanja. Mama akazimia.*_


45e38e769d7ea8861eb09de313c5b3cb.jpg


cdae23c19849e899f1fabf66001c2bcf.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom