Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU YA LEO


The key to successful leadership today is influence, not authority.

Ufunguo wa mafanikio ya uongozi wa leo ni ushawishi, sio mamlaka


Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwandishi mmarekani , mbobezi wa masuala ya uongozi na mshauri wa masuala ya uongozi Bwana Kenneth Blanchard aliyezaliwa tar. 5/6/1939.

Ken amekuwa akiandika makala na vitabu kuhusu uongozi, Moja ya kazi zake nzuri ni zile za ;

1. The one minute manager

2. The secret; what great leaders know-and do

3. Refire and fire

20382dc67879acd7e08cd0ce70c9361e.jpg


6bb2a4c5ce19bd78e6a55ebf6106987b.jpg


Ushawishi ndio unachukuliwa kuleta mafanikio kwa kiongozi yeyote ...! Jamii inahitaji mtu anatumia ushawishi kuongoza ! Hatutaki mamlaka.., yeyote anaweza kupewa mamlaka ua kujitwalia mamlaka..

Morning motivational;

Jifunze kuwa mshawishi ktk maisha yako..! Taka kuonekana wa tofauti ktk jamii, be potential ! Be influncial.

Transcend.
Word!!
 
Kesho ni mwaka mmoja tangu thread ianzishwe
Statistics zipo hivi,
160K replies
1.8 M ,views

Mxwakani ikitimitza 2 yrs sijui itakuwaje maana kwa reply haina mpinzani na kwa Views kuna thread km mbili tu zenye 2M views tena zimekaa jukwaani muda mrefu kufikisha 2M views hivyo naamini hii thread itakuwa ya kwanza kufikisha 3M views maana ilikuwa ya kwanza kufikisha 100k replies na bado hakuna thread iliyofikisha now tunaelekea 200k replies
Endelea.....
......
 
Vipi mzee wa Empire series tupe nawe yako kuhusu hiyo Empire
In short mkuu

Now imefika season 3 episode ya 12

Lucious kama kawaida yake anaendelea kucheza master plan kama unabomjua hashindwii make he is ready to sacrifice any for his benefit japo aliwashangaza wengi kwa kumtaja Anika as the DNA mother of the company sijajua lengo lake ...

Cookies ; kama kawaida yake suala la family haingizi tofauti zake na lucious she play as a mother japo now penzi la mgombea meya yule Angelo linamsumbua make zile flashback alipotoka na Lyon zinamtesa sana but Angelo anajitahidi sana kumpata cookie

Andre :huyu akili zake unazifahamu he is after something from empire ndo maana ata ukikumbuka enzi zake na Rhonda walikuwa wote after empire
Now anampango wa kumuaa kabisa dingili lake mzee Baba lucious japo bado ni ngumu kutekeleza ...ila kitendo cha kumpata Giuliana naona mission yao itafanikiwa kwa tabu kama Nessa atalisanua ...kumbuka ana kundi la shyne

Anika: japo ana mtoto wa hakeem na licha ya Lyon kumtaja kama DNA wa empire still inaonekana kuna mkakati mkali na mzito yeye pamoja na Tariq ..kumbuka ndo anafatilia kifo cha Frank babake frida

Hakeem: bado akili za utoto unamsumbua japo now ana mtoto kwa anika ila sijui kwa sababu hakubahatika kukumbwa na shida walizopata ndugu zake ...kuanzia kufungwa kwa maza na kurise kwa empire ila familia ishamchoka japo ana kipaji cha ajabu as a rapper

Jamal ; baada ya kuteseka na madawa naona rehab katoka salama na sasa anafokasii kwenye mziki wake japo Dmajor na Phillip wapo njia panda kwenye kumiliki Jamal

In summup Empire iko hot now ....
 
Leo ni mwaka mmoja tangu thread ianzishwe
Statistics zipo hivi,
150+K replies
1.8 M ,views
Mxwakani ikitimitza 2 yrs sijui itakuwaje
......
Replies zinakimbilia 160k now..

Tena leo jioni tunaweza fikisha 160k

Post ziko 159,000 by today..

Ktk hali ya kawaida yawekekana memberz wakaongezeka mara mbili ya sasa hivi..manake watu active humu hawazidi 25..

Lest mwakani wakawepo 60 active..

Hizo post zitadouble..zitafika laki 3 au 4 kabisa..

Replies zitadouble pia, 350k...

Let's have glass of wine and watch the forum growing..
 
Replies zinakimbilia 160k now..

Tena leo jioni tunaweza fikisha 160k

Post ziko 159,000 by today..

Ktk hali ya kawaida yawekekana memberz wakaongeza mara mbili ya sasa hivi..manake watu active humu hawazidi 25..

Lest mwakani wakawepo 60 active..

Hizo post zitadouble..zitafika laki 3 au 4 kabisa..

Replies zitadouble pia, 350k...

Let's have glass of wine and watch the forum growing..
Mkuu huu uzi unachekesha sana
Kuna kipindi unaweza fikiri thread inakufa lakini ghafla wanaibuka makapuku wapya wenye hasira wanakinukisha mbaya

Mi nilikaa chini nikishirikiana na Baily5 nikaamua kuleta kitu ambacho kitaiteka Jf nzima baada ya kugundua watu wengi wamekosa sehemu ya kupiga stori kwa uhuru badala yake wanaharibu thread za watu kwa kuanzisha mazungumzo yao binafsi nje ya mada
sasa thread za members maarufu mtu ukiingia kupiga stori ilikuwa ni km unajipendekeza maana unapotezewa mazima yaani wanapeana kick kivyao wkt hawana swaga

.......
 
Habari ya asubuhi Kapuku's
Good morning Kapuku's
Bom dia Kapuku's
Bonjour Kapuku's
Shalom Kapuku's


Ni siku nyingine tena tumepewa na Muumba wa mbingu na nchi si kwa kuwa tumekuwa wema kwake Bali ni kwa rehema zake ili tuweze kumsifu na kumtukuza yeye.

Ewe Mungu baba ukakae nasi sote familia ya kapuku utupatie nguvu na uwezo wa kupambana na vikwazo vilivyo mbele yetu, tunakuomba baba ukawanyooshee mkono wako wa baraka wagonjwa wote waliopo mahospitalini na majumbani, pia ukalibariki taifa letu na dunia yote kwa ujumla.
Tunaomba hayo kwa njia ya mwanao mpendwa Yesu kristo Amen.
Shalom mkuu ubarikiwe
 
NUKUU YA LEO


The key to successful leadership today is influence, not authority.

Ufunguo wa mafanikio ya uongozi wa leo ni ushawishi, sio mamlaka


Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwandishi mmarekani , mbobezi wa masuala ya uongozi na mshauri wa masuala ya uongozi Bwana Kenneth Blanchard aliyezaliwa tar. 5/6/1939.

Ken amekuwa akiandika makala na vitabu kuhusu uongozi, Moja ya kazi zake nzuri ni zile za ;

1. The one minute manager

2. The secret; what great leaders know-and do

3. Refire and fire

20382dc67879acd7e08cd0ce70c9361e.jpg


6bb2a4c5ce19bd78e6a55ebf6106987b.jpg


Ushawishi ndio unachukuliwa kuleta mafanikio kwa kiongozi yeyote ...! Jamii inahitaji mtu anatumia ushawishi kuongoza ! Hatutaki mamlaka.., yeyote anaweza kupewa mamlaka ua kujitwalia mamlaka..

Morning motivational;

Jifunze kuwa mshawishi ktk maisha yako..! Taka kuonekana wa tofauti ktk jamii, be potential ! Be influncial.

Transcend.
Asante kwa nukuu mkuu uwe na siku njema
 
1992 - Mchezaji bora wa zamani wa Tennis kutoka nchini Marekani, Arthur Ashe anajitangaza kuwa ni muathirika wa ugonjwa wa UKIMWI.

Anatajwa kama mmoja wa wacheza Tennis kuwahi kutokea.

Ashe anakuja kufariki mwaka mmoja baadae yaani mwaka 1993.

Baada ya kifo chake, Rais wa Marekani wa Kipindi hiko Bill Clinton anampa tuzo ya heshima ya kitoka kwa Rais. ( President Medal of Freedom ).
R.I.P Arthur Ashe,alifariki mapema sana 1 year tu au hakunywa ARVs ,Au alijua too late...maswali mengi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom