Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
2013 - Margareth Thatcher anafariki Dunia.
Alikuwa Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza. Ndio Mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo.
Alijulikana kama " Iron Lady " kutokana na uongozi wake uliotukuka na wenye msimamo bila kuyumbishwa.
....