Makapuku Forum

Makapuku Forum

2013 - Margareth Thatcher anafariki Dunia.

Alikuwa Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza. Ndio Mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo.

Alijulikana kama " Iron Lady " kutokana na uongozi wake uliotukuka na wenye msimamo bila kuyumbishwa.
535e32195db51938e6c3a4cd97f66256.jpg
664ac7db11b7a136db00df70a6e25e1d.jpg
21a78202c169a855d9b5e1160b3805c2.jpg
0a2408ed3abe22af58e413b835df6cf6.jpg
sasa hivi kuna Theresa May
....
 
huyu jamaa anatumika vibaya
Ni mke mwenza wa Bashite
Huoni kasaini mkataba GSM Mall pia Bashite ndio mlezi wa WCB....Japo mimi ni shabiki pia dansawake mmoja ni swahiba wangu lakini kwa hili anapotea
Wimbo utapotezewa vituoni maana mashairi ni km kaandikiwa na Bashite ili ajisafishe

Kumbuke Bashite siku zinavyozidi ndo skendo na maadui wanaongezeka halafu watetezi wake wanapungua sasa watavaki WCB na Le Mutuz wote low IQ hawaiwezi hii vita
. .....
 
Sijaifuatilia kabisa hiyo series maana ni ndefu napenda series fupi hazichukui muda mrefu sana
Sasa hivi inakuwa kali manake scofield/kaniel outis ameungana na ISIS kina linc na C-note wanataka wamtoe gerezani jamaa amewakana na anadai hawafahamu..

T -bag anapatiwa prosthetic Hand ambao unafanya kazi kama mkono wa kawaida baada ya kukatwa mkono na John Abruzzi wakati wanatoroka Fox river..

T-bag anagundua kuwa matibabu hayo yamelipia na mtu anajiita Outis ambaye ndie michael scofield

Imekaa patamu...

Mondray atakuwa amenielewa hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom