Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,242
1953 - Kiongozi wa MAU MAU, Jomo Kenyatta anakamatwa na serikali ya kikoloni ya Uingereza nchini Kenya.
Weeeeee nani akupeeHahaaa nipe namm hio kazi.
Kweli!! Utafanyikia wap vile?Niko poa mkuu heshima kwako kiongozii
Leo tuwakumbushe kapuku kuna mkesha
Nipe bwana.....Weeeeee nani akupee
![]()
![]()
![]()
![]()
Shedede mzee mkavu anatosha
Vyema umejua sasaAlaa kumbe, asante sana! Sikuwa nimejua.
Umeamkaje bibie..Njema Mimi nipo salama namshukuru Mungu
Wacha leo nibet nimuue liverKweli mkuu Leo EPL stoke na Liverpool mechi ngumu bila kumungunya maneno na ebu tujikumbushe kilichompata liver majuzi,,,,, mchezo wa awali pale Goldsand ulikuwa mgumu sana kwa Liverpool na Bournemouth.... Bournemouth wanavuna jumla ya alama 4 kwa Liverpool na hii inadhihirisha ubora wao katika kukaba sambamba na kushambulia....... Ila pia inadhihirisha udhaifu wa Liverpool katika kufeli kwa gengepressing ndani ya mbinu za Eddie Howe.
Navoamini stoke ni miongoni mwa timu ngumu kabisa ambazo hutakiwi kukutana nazo wakati unahitaji alama muhimu iwe nyumbani au ugenini pia wakati unawakosa wachezaji wako muhimu katika timu....my note kwa wale wapendwa wa mhindi Kama unahitaji kumuua Leo ebu geuza mkeka na ikibidi jifanye hili goma umelisahau ila uzuri tunafanya kwa utashiii
Tukutane baada ya kipenda kuedit post
Liverpool ........-..... S/city
VyemaSalama mkuu
Ahaaaaaah unamjua mzee mkavu ???Kweli!! Utafanyikia wap vile?
Mm nitakaa na shunie ili baridi isinipige.
R.I.P Hampel's1943 - Wanandoa Otto Hampel na Elise Hampel wananyongwa huko Berlin nchini Ujerumani baada ya kukosoa utawala wa Dikteta Adolf Hitler.
Mtaanziaa wapiiiNipe bwana.....
Ila ka mzee mkavu kapo vzr kwenye ukwaju..hadi tunashindwa kumnyapia shunie.
Pm je atamlinda na huko tusinyapie.Ahaaaaaah unamjua mzee mkavu ???
Anapiga ngumi sio za nchii hii
Asante mkuuNUKUU YA LEO
The key to successful leadership today, is influence not authority.
Ufunguo wa mafanikio ya uongozi wa leo ni ushawishi, sio mamlaka
Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwandishi wa mmarekani , mbobezi wa masuala ya uongozi na mshauri wa masuala ya uongozi Bwana Kenneth Blanchard aliezaliwa tar. 5/6/1939.
Ken amekuwa akiandika makala na vitabu kuhusu uongozi, Moja ya kazi zake nzuri ni zile za ;
1. The one minute manager
2. The secret; what great leaders know-and do
3. Refire and fire
![]()
![]()
Ushawishi ndio unachukuliwa kuleta mafanikio kwa kiongozi yeyote ...! Jamii inahitaji mtu anatumia ushawishi kuongoza ! Hatutaki mamlaka.., yeyote anaweza kupewa mamlaka ua kujitwalia mamlaka..
Morning motivational;
Jifunze kuwa mshawishi ktk maisha yako..! Taka kuonekana wa tofauti ktk jamii, be potential ! Be influncial.
Transcend.
Niko poa kishetiAmeeeen kaka paroko.
Uko poa lakini?
Mkuu sina neno all de bestWacha leo nibet nimuue liver
Home ni wapi?Mtaanziaa wapiii
Mpaka home ruksa
Hahaaaa!Jana shunie kuna paali alimquote nakumuita baby
Lakin aliomba radhi na mambo yakaenda sawia mkuu