Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU YA LEO


The key to successful leadership today is influence, not authority.

Ufunguo wa mafanikio ya uongozi wa leo ni ushawishi, sio mamlaka


Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwandishi mmarekani , mbobezi wa masuala ya uongozi na mshauri wa masuala ya uongozi Bwana Kenneth Blanchard aliyezaliwa tar. 5/6/1939.

Ken amekuwa akiandika makala na vitabu kuhusu uongozi, Moja ya kazi zake nzuri ni zile za ;

1. The one minute manager

2. The secret; what great leaders know-and do

3. Refire and fire

20382dc67879acd7e08cd0ce70c9361e.jpg


6bb2a4c5ce19bd78e6a55ebf6106987b.jpg


Ushawishi ndio unachukuliwa kuleta mafanikio kwa kiongozi yeyote ...! Jamii inahitaji mtu anatumia ushawishi kuongoza ! Hatutaki mamlaka.., yeyote anaweza kupewa mamlaka ua kujitwalia mamlaka..

Morning motivational;

Jifunze kuwa mshawishi ktk maisha yako..! Taka kuonekana wa tofauti ktk jamii, be potential ! Be influncial.

Transcend.
 
Kweli mkuu Leo EPL stoke na Liverpool mechi ngumu bila kumungunya maneno na ebu tujikumbushe kilichompata liver majuzi,,,,, mchezo wa awali pale Goldsand ulikuwa mgumu sana kwa Liverpool na Bournemouth.... Bournemouth wanavuna jumla ya alama 4 kwa Liverpool na hii inadhihirisha ubora wao katika kukaba sambamba na kushambulia....... Ila pia inadhihirisha udhaifu wa Liverpool katika kufeli kwa gengepressing ndani ya mbinu za Eddie Howe.

Navoamini stoke ni miongoni mwa timu ngumu kabisa ambazo hutakiwi kukutana nazo wakati unahitaji alama muhimu iwe nyumbani au ugenini pia wakati unawakosa wachezaji wako muhimu katika timu....my note kwa wale wapendwa wa mhindi Kama unahitaji kumuua Leo ebu geuza mkeka na ikibidi jifanye hili goma umelisahau ila uzuri tunafanya kwa utashiii

Tukutane baada ya kipenda kuedit post

Liverpool ........-..... S/city
Wacha leo nibet nimuue liver
 
1992 - Mchezaji bora wa zamani wa Tennis kutoka nchini Marekani, Arthur Ashe anajitangaza kuwa ni muathirika wa ugonjwa wa UKIMWI.

Anatajwa kama mmoja wa wacheza Tennis kuwahi kutokea.

Ashe anakuja kufariki mwaka mmoja baadae yaani mwaka 1993.

Baada ya kifo chake, Rais wa Marekani wa Kipindi hiko Bill Clinton anampa tuzo ya heshima ya kitoka kwa Rais. ( President Medal of Freedom ).
 
NUKUU YA LEO


The key to successful leadership today, is influence not authority.

Ufunguo wa mafanikio ya uongozi wa leo ni ushawishi, sio mamlaka


Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwandishi wa mmarekani , mbobezi wa masuala ya uongozi na mshauri wa masuala ya uongozi Bwana Kenneth Blanchard aliezaliwa tar. 5/6/1939.

Ken amekuwa akiandika makala na vitabu kuhusu uongozi, Moja ya kazi zake nzuri ni zile za ;
1. The one minute manager

2. The secret; what great leaders know-and do

3. Refire and fire

20382dc67879acd7e08cd0ce70c9361e.jpg


6bb2a4c5ce19bd78e6a55ebf6106987b.jpg


Ushawishi ndio unachukuliwa kuleta mafanikio kwa kiongozi yeyote ...! Jamii inahitaji mtu anatumia ushawishi kuongoza ! Hatutaki mamlaka.., yeyote anaweza kupewa mamlaka ua kujitwalia mamlaka..

Morning motivational;

Jifunze kuwa mshawishi ktk maisha yako..! Taka kuonekana wa tofauti ktk jamii, be potential ! Be influncial.

Transcend.
Asante mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom