Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
P.m. ufunguo ninao mimiPm je atamlinda na huko tusinyapie.
P.m. ufunguo ninao mimiPm je atamlinda na huko tusinyapie.
Mzungu Aende Ulaya Mwafrika Apate Uhuru1953 - Kiongozi wa MAU MAU, Jomo Kenyatta anakamatwa na serikali ya kikoloni ya Uingereza nchini Kenya.
Upajue ili iweje kwa mfanoHome ni wapi?
Salaama kabisa niko bomba....Niko poa kisheti
Habari ya toka jana?
Tuje kutembea.Upajue ili iweje kwa mfano
Mkuu ni kweli hiyo ni filamu?Movie mpya ipo sokoni itafuteni![]()
Good morning all
.....
Cc TranscendNUKUU YA LEO
The key to successful leadership today, is influence not authority.
Ufunguo wa mafanikio ya uongozi wa leo ni ushawishi, sio mamlaka
Haya maneno yalipatwa kutamkwa na mwandishi wa mmarekani , mbobezi wa masuala ya uongozi na mshauri wa masuala ya uongozi Bwana Kenneth Blanchard aliezaliwa tar. 5/6/1939.
Ken amekuwa akiandika makala na vitabu kuhusu uongozi, Moja ya kazi zake nzuri ni zile za ;
1. The one minute manager
2. The secret; what great leaders know-and do
3. Refire and fire
![]()
![]()
Ushawishi ndio unachukuliwa kuleta mafanikio kwa kiongozi yeyote ...! Jamii inahitaji mtu anatumia ushawishi kuongoza ! Hatutaki mamlaka.., yeyote anaweza kupewa mamlaka ua kujitwalia mamlaka..
Morning motivational;
Jifunze kuwa mshawishi ktk maisha yako..! Taka kuonekana wa tofauti ktk jamii, be potential ! Be influncial.
Transcend.
Mkuu uko bomba lakini?Hahaaaa!
Hii kali aisee
Morning sweetie love..Love you more T
Jamaniiii jana nilikuwa shamba thy nlichoka mnoo hubby....
Naamini umeamka salama mume wangu!!!
Wana kapuku mmeamka Vipi, nawapenda wote Muwe na juma
Ujasiri uliotukuka1992 - Mchezaji bora wa zamani wa Tennis kutoka nchini Marekani, Arthur Ashe anajitangaza kuwa ni muathirika wa ugonjwa wa UKIMWI.
Anatajwa kama mmoja wa wacheza Tennis kuwahi kutokea.
Ashe anakuja kufariki mwaka mmoja baadae yaani mwaka 1993.
Baada ya kifo chake, Rais wa Marekani wa Kipindi hiko Bill Clinton anampa tuzo ya heshima ya kitoka kwa Rais. ( President Medal of Freedom ).
Mkuu sina neno all de best

Acha utani wwP.m. ufunguo ninao mimi
1953 - Kiongozi wa MAU MAU, Jomo Kenyatta anakamatwa na serikali ya kikoloni ya Uingereza nchini Kenya.
Good good mkuuSalaama kabisa niko bomba....
Ameni..Habari ya asubuhi Kapuku's
Good morning Kapuku's
Bom dia Kapuku's
Bonjour Kapuku's
Shalom Kapuku's
Ni siku nyingine tena tumepewa na Muumba wa mbingu na nchi si kwa kuwa tumekuwa wema kwake Bali ni kwa rehema zake ili tuweze kumsifu na kumtukuza yeye.
Ewe Mungu baba ukakae nasi sote familia ya kapuku utupatie nguvu na uwezo wa kupambana na vikwazo vilivyo mbele yetu, tunakuomba baba ukawanyooshee mkono wako wa baraka wagonjwa wote waliopo mahospitalini na majumbani, pia ukalibariki taifa letu na dunia yote kwa ujumla.
Tunaomba hayo kwa njia ya mwanao mpendwa Yesu kristo Amen.