Makapuku Forum

Makapuku Forum

effab37ebad4979f1901017801499e4c.jpg
hahahhh shedede akiona tommy na jerry anacheka sana
 
Sasa hivi inakuwa kali manake scofield/kaniel outis ameungana na ISIS kina linc na C-note wanataka wamtoe gerezani jamaa amewakana na anadai hawafahamu..

T -bag anapatiwa prosthetic Hand ambao unafanya kazi kama mkono wa kawaida baada ya kukatwa mkono na John Abruzzi wakati wanatoroka Fox river..

T-bag anagundua kuwa matibabu hayo yamelipia na mtu anajiita Outis ambaye ndie michael scofield

Imekaa patamu...

Mondray atakuwa amenielewa hapa.
Nomaaaaaaa
 
Ni mke mwenza wa Bashite
Huoni kasaini mkataba GSM Mall pia Bashite ndio mlezi wa WCB....Japo mimi ni shabiki pia dansawake mmoja ni swahiba wangu lakini kwa hili anapotea
Wimbo utapotezewa vituoni maana mashairi ni km kaandikiwa na Bashite ili ajisafishe

Kumbuke Bashite siku zinavyozidi ndo skendo na maadui wanaongezeka halafu watetezi wake wanapungua sasa watavaki WCB na Le Mutuz wote low IQ hawaiwezi hii vita
. .....
kweli kabisa
 
Sasa hivi inakuwa kali manake scofield/kaniel outis ameungana na ISIS kina linc na C-note wanataka wamtoe gerezani jamaa amewakana na anadai hawafahamu..

T -bag anapatiwa prosthetic Hand ambao unafanya kazi kama mkono wa kawaida baada ya kukatwa mkono na John Abruzzi wakati wanatoroka Fox river..

T-bag anagundua kuwa matibabu hayo yamelipia na mtu anajiita Outis ambaye ndie michael scofield

Imekaa patamu...

Mondray atakuwa amenielewa hapa.
Na kweli hapo umeniacha njia panda ulaya
 
_*Wiki mbili baada ya harusi,Mama alimuuliza Bintiye,Vp maisha ya ndoa? mtoto akajibu, Du kama British Airways. Mama akatoka mpk airport kuangalia ratiba akakuta inatua kwa wiki mara 7, na ktk kila siku 1 inaenda trip 3, na ktk kila trip 1 inasimama vituo 7 na kila ikitua inafikia nyuma ya uwanja. Mama akazimia.*_


 
Morning sweetie love..

Morning my world..

Hope umeamka salama mama..

Niko pouwa ! Mzima wa afya..!

Keeep smilling mamie..!

Always and forever yours.
Nafurahi kusikia u mzima hubby!!

Namshukuru Mungu kukuleta kwenye maisha yangu mpenzi, nakupenda that's what I can say for now!!!!

Karibu chai mume wa Sakayo!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom