Makapuku Forum

Makapuku Forum

ef92f27674cafdcd5d9a5e6f60827157.jpg
606545ee1e176ee0156a85fa82023950.jpg
7fce27ae8957b8ab690e8a4a46ae2406.jpg
9c166e34120e3e156c20e987484c42f9.jpg
Ukiona hapinduliwi ujue ni kibaraka wa Marekani
....
Kweli Mkuu.
 
Ukurasa wa Twitter wa Shirikisho la Soka Barani Ulaya(UEFA) waweka picha ya Mtanzania, Mbwana Ally Samatta na kumtaja kuwa ni mchezaji wa kuangaliwa.

- Mshambuliaji huyo hatari amefunga magoli sita katika michezo mitano ya mwisho aliyoichezea Klabu yake ya KRC Genk.
a968563261d2828fda87cadf2dc11ecd.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom