Makapuku Forum

Makapuku Forum

Rwanda kwa QUIGLEY ni hatari. Yaani kuna mabinti warembo utadhani hawakuzaliwa hapa duniani. Nimetambulishwa kwa medical doctor mmoja hapa dah! Kuna hatari ya kulowea mkuu. Bila Shunie ningekuwa nshafunga virago. Fanya mishe uje kutembea. Nitaku-host!
Rwanda hakuna mapenzi ya dhati na asikudanganye mtu Mrwanda hawezi kubeba mimba ya mtu asiyekuwa mrwanda lazima azae na mrwanda wewe utaishia kulea mimba na mtoto wakati mwenzio katia mimba...ogopa
 
Rwanda hakuna mapenzi ya dhati na asikudanganye mtu Mrwanda hawezi kubeba mimba ya mtu asiyekuwa mrwanda lazima azae na mrwanda wewe utaishia kulea mimba na mtoto wakati mwenzio katia mimba...ogopa
Mapenzi ya nn kaka kma kina vutia ndo mapenzi hayo mimi cpend mwanamke anipende nataka anivutie tu inatosha sana
 
Whaaaaaaat a suprise jamaani..

Huyu mtoto wa kitanga anaiuwa sasa...

Nyagei nikisema Nampenda Sakayo bure anashangaa !

Mapenzi bhana ni kitu cha ajabu sana..! Kuna vitu vidogo vidogo unafanyiwa tuu alafu unampenda mpaka basi...

Sasa hivi nimepokea Zawadi ya kalamu! Just a pen..! Just one pen! Ila kwangu ni zawadi kubwa mno..

Imeandikwa Id yangu ya Jf..! Mimi sijui Sakayo kanunua wapi...

Kalamu imeandikwa Transcend..then Good memories....bla blaa..

c821675104e40e43f6e39fdcaa74283c.jpg



Huyu mwanamke nampenda sana

Sakayo nakupenda mke wangu..

Asante kwa zawadi ! I love you..
Give love back
 
Rwanda kwa QUIGLEY ni hatari. Yaani kuna mabinti warembo utadhani hawakuzaliwa hapa duniani. Nimetambulishwa kwa medical doctor mmoja hapa dah! Kuna hatari ya kulowea mkuu. Bila Shunie ningekuwa nshafunga virago. Fanya mishe uje kutembea. Nitaku-host!
Tehteh teh mkuu huko nitafika mwezi wa 9 na nikifika sirudi bongoland ata kwa mtutu wa mbao
 
Rwanda hakuna mapenzi ya dhati na asikudanganye mtu Mrwanda hawezi kubeba mimba ya mtu asiyekuwa mrwanda lazima azae na mrwanda wewe utaishia kulea mimba na mtoto wakati mwenzio katia mimba...ogopa
Mi nawaonaga warwanda wapole na tabia nzur nakumbe ndo tabia zao wanazaa we unalea wanakugeuza beki tatu

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom