mkubhi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 2,216
- 3,319
Yes it better to play ur PartIna bidi nimpende tuu.. i can't pay her back...
Yes it better to play ur PartIna bidi nimpende tuu.. i can't pay her back...
Mkuu unaoneka unaexperince sana juu ya hawa warwandaWe acha kabisa, wana ukabila usio na mfano
Ni kweli lakin naomba nieleweke sio kimahusiano ya kimapenzi bsli kwa ukaribu kikazi na maisha ya kawaida. Wao hukiri na kuamini ni wa kipekeeMkuu unaoneka unaexperince sana juu ya hawa warwanda
Shwar mkuu karibuhabari zenu makapukuu...
Yaah ofcoz nyuso zao ziko very pollite nawapenda sana wahutu na watusi mimiNi kweli lakin naomba nieleweke sio kimahusiano ya kimapenzi bsli kwa ukaribu kikazi na maisha ya kawaida. Wso hukiri na kuamini ni wa kipekee
shkrani sana mkuu mambo yanaendaaaaShwar mkuu karibu
Tunamshuru mungu mkuu yako poashkrani sana mkuu mambo yanaendaaaa
Mbona mapema mkuuGood night wapendwa
vyetiNaelekea koromije nikirudi ni waletee nin?
Ubaya gani jamani!!!Acha ubaya ujue cio vyema hivyo
Sasa wewe kama rais wao, una ufumbuzi wo wote wa ishu hii ya ukabila?We acha kabisa, wana ukabila usio na mfano
Karibu sana na please usitishwe na Kagame (QUIGLEY).Tehteh teh mkuu huko nitafika mwezi wa 9 na nikifika sirudi bongoland ata kwa mtutu wa mbao
Sijambo namshukuru sana Mungu siku imekuwa njema na baraka tele..naimalizia hapa wewe je?
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Mkuu, mimi sihitaji kuwabebesha mimba. Mimba ya nini tena? Mtoto wa Kitutsi atanisaidia nini?Rwanda hakuna mapenzi ya dhati na asikudanganye mtu Mrwanda hawezi kubeba mimba ya mtu asiyekuwa mrwanda lazima azae na mrwanda wewe utaishia kulea mimba na mtoto wakati mwenzio katia mimba...ogopa
Aaaaa wapi! Kila mtu anajidai ana mtu wake na PM zote ziko blocked. Wengine ma-single hapa tuko siriazi wenyewe wanafanya mzawa nyodo kibao. Ndo maana inabidi tuhamie Kigali kwa sababu hakuna namna!Unakosea, kaza kidogo wanataka kujiridhisha kama uko siriaz au unatania