Makapuku Forum

Makapuku Forum

49491b3b184314368805e32e0beb3648.jpg
5ab23ed239e6b98f26bfe8fca9eda085.jpg
e55bed8446c5479ae5a83c6b2e808a4e.jpg
inasikitisha sana
 
1988 - Fabrice Muamba anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Arsenal, Birmingham City na Bolton.

Licha ya Kuzaliwa, Kinshasa, Zaire aliamua kuchukua Uraia wa England.

Alistaafu soka mapema tu mara baada ya kudondoka uwanjani na moyo wake kusimama kwa dakika 78 bila kufanya kazi.

Shabiki mmoja aliyekuwa uwanjani ambaye kitaaluma ni Daktari ndiye aliyeokoa maisha yake kwa kumpatia huduma ya kwanza.

Ilikuwa ni mechi ya Kombe la F.A ambapo Bolton walicheza dhidi ya Tottenham.
 
1988 - Fabrice Muamba anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Arsenal, Birmingham City na Bolton.

Licha ya Kuzaliwa, Kinshasa, Zaire aliamua kuchukua Uraia wa England.

Alistaafu soka mapema tu mara baada ya kudondoka uwanjani na moyo wake kusimama kwa dakika 78 bila kufanya kazi.

Shabiki mmoja aliyekuwa uwanjani ambaye kitaaluma ni Daktari ndiye aliyeokoa maisha yake kwa kumpatia huduma ya kwanza.

Ilikuwa ni mechi ya Kombe la F.A ambapo Bolton walicheza dhidi ya Tottenham.
dee79f9bb6a741920ea862d3f87a7c9b.jpg
4a319d5c4f92127edccf54830f67222a.jpg
120559021b2dd1db52e0efbfe45a9550.jpg
6e46355c12d04f155b9708c9fc3e2927.jpg
Halafu siku yake ikifika Unaweza kushangaa akifa "kifo rahisi"
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom