Makapuku Forum

Makapuku Forum

1994 -Rais Juvenal Habyriamana wa Rwanda anauwawa mara baada ya ndege aliyokuwa amepanda kutoka Dar Es Salaam kutunguliwa ikijaribu kutua Nchini humo.

1994 - Rais Cyprien Ntaryamira wa Burundi anauwawa mara baada ya ndege aliyokuwa amepanda yeye pamoja na Rais wa Rwanda kudunguliwa ikikaribia kutua nchini Rwanda ikitokea Tanzania.
242b6bb4a401eedc6576f879adc86747.jpg
9105fc8bbf30b5db10cecd2566491e46.jpg
aaf3d894888205fabca6976e43ac49ae.jpg
c49ae1499aedf88d8003a7405eb4fda7.jpg
d287009100a01d4794878bf1497685fe.jpg
 
Leo Katika Historia:

1994 - Mauaji ya Kimbari nchini Rwanda yaanza ni baada ya kutokea mauaji ya Marais wawili wa Burundi na Rwanda kwa ndege waliyopanda kulipuliwa ikiwa inatokea Dar Ea Salaam.
Aksante Mkuu kwa ktujuza habari za huko nyuma
1984 - Baadhi ya Wanajeshi wa Jeshi la Cameroon wanajaribu kufanya Jaribio la Kupindua Serikali ya Rais wa Nchi hiyo Paul Biya lakini Jaribio hilo linashindikana.

Paul Biya yupo madarakani kwa miaka 37 mpaka sasa.

1938 - Paul Daniels anazaliwa.

Alikuwa ni mwanamazingaombwe kutoka nchini Uingereza.

Anatajwa kama mtu aliyeleta mapinduzi makubwa katika sanaa ya Mazingaombwe ulimwenguni.

1965 - Rafael Correa anazaliwa.

Ni Rais wa 54 wa nchi ya Ecuador.

1988 - Fabrice Muamba anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Arsenal, Birmingham City na Bolton.

Licha ya Kuzaliwa, Kinshasa, Zaire aliamua kuchukua Uraia wa England.

Alistaafu soka mapema tu mara baada ya kudondoka uwanjani na moyo wake kusimama kwa dakika 78 bila kufanya kazi.

Shabiki mmoja aliyekuwa uwanjani ambaye kitaaluma ni Daktari ndiye aliyeokoa maisha yake kwa kumpatia huduma ya kwanza.

Ilikuwa ni mechi ya Kombe la F.A ambapo Bolton walicheza dhidi ya Tottenham.

1988 - Ivone Orsini anazaliwa.

Alikiwa ni Miss World mwaka 2008 akitokea nchi ya Puerto Rico.

1994 -Rais Juvenal Habyriamana wa Rwanda anauwawa mara baada ya ndege aliyokuwa amepanda kutoka Dar Es Salaam kutunguliwa ikijaribu kutua Nchini humo.

1994 - Rais Cyprien Ntaryamira wa Burundi anauwawa mara baada ya ndege aliyokuwa amepanda yeye pamoja na Rais wa Rwanda kudunguliwa ikikaribia kutua nchini Rwanda ikitokea Tanzania.

2000 - Habib Bourguiba anafariki Dunia.

Alikiwa ni Rais wa kwanza wa Tunisia.
 
1988 - Fabrice Muamba anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Arsenal, Birmingham City na Bolton.

Licha ya Kuzaliwa, Kinshasa, Zaire aliamua kuchukua Uraia wa England.

Alistaafu soka mapema tu mara baada ya kudondoka uwanjani na moyo wake kusimama kwa dakika 78 bila kufanya kazi.

Shabiki mmoja aliyekuwa uwanjani ambaye kitaaluma ni Daktari ndiye aliyeokoa maisha yake kwa kumpatia huduma ya kwanza.

Ilikuwa ni mechi ya Kombe la F.A ambapo Bolton walicheza dhidi ya Tottenham.
H.B.D na pole Fabrice Mwamba..Mungu awe pamoja nawe daima na umtumikie, hakika Muda wako ulikuwa bado mshukuru sana Mungu ,dk 78 ni saa nzima na dk 18,nakumbuka kuna tangazo zamani lilisema ..moyo wangu ukiacha kufanya kazi ingawaje kwa dk tatu..uhai wangu umetoweka...ni kwa neema yupo hai.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom