mkubhi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 2,216
- 3,319
Rogie nipe Elimu jinsi ya kubadilisha jinaMpenzi usinifanyie hivyo tafadhali.
Rogie nipe Elimu jinsi ya kubadilisha jinaMpenzi usinifanyie hivyo tafadhali.
AminaPole sana mkuu..
Mungu aishiye akuponye! Akupe afya tele na amani ya moyo..
Amini katka Mungu.
Lazima upone kaka
Amen and thanks a lot NyageiGet well soon mkubhi
1994 -Rais Juvenal Habyriamana wa Rwanda anauwawa mara baada ya ndege aliyokuwa amepanda kutoka Dar Es Salaam kutunguliwa ikijaribu kutua Nchini humo.
1994 - Rais Cyprien Ntaryamira wa Burundi anauwawa mara baada ya ndege aliyokuwa amepanda yeye pamoja na Rais wa Rwanda kudunguliwa ikikaribia kutua nchini Rwanda ikitokea Tanzania.
Aksante Mkuu kwa ktujuza habari za huko nyumaLeo Katika Historia:
1994 - Mauaji ya Kimbari nchini Rwanda yaanza ni baada ya kutokea mauaji ya Marais wawili wa Burundi na Rwanda kwa ndege waliyopanda kulipuliwa ikiwa inatokea Dar Ea Salaam.
1984 - Baadhi ya Wanajeshi wa Jeshi la Cameroon wanajaribu kufanya Jaribio la Kupindua Serikali ya Rais wa Nchi hiyo Paul Biya lakini Jaribio hilo linashindikana.
Paul Biya yupo madarakani kwa miaka 37 mpaka sasa.
1938 - Paul Daniels anazaliwa.
Alikuwa ni mwanamazingaombwe kutoka nchini Uingereza.
Anatajwa kama mtu aliyeleta mapinduzi makubwa katika sanaa ya Mazingaombwe ulimwenguni.
1965 - Rafael Correa anazaliwa.
Ni Rais wa 54 wa nchi ya Ecuador.
1988 - Fabrice Muamba anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Arsenal, Birmingham City na Bolton.
Licha ya Kuzaliwa, Kinshasa, Zaire aliamua kuchukua Uraia wa England.
Alistaafu soka mapema tu mara baada ya kudondoka uwanjani na moyo wake kusimama kwa dakika 78 bila kufanya kazi.
Shabiki mmoja aliyekuwa uwanjani ambaye kitaaluma ni Daktari ndiye aliyeokoa maisha yake kwa kumpatia huduma ya kwanza.
Ilikuwa ni mechi ya Kombe la F.A ambapo Bolton walicheza dhidi ya Tottenham.
1988 - Ivone Orsini anazaliwa.
Alikiwa ni Miss World mwaka 2008 akitokea nchi ya Puerto Rico.
1994 -Rais Juvenal Habyriamana wa Rwanda anauwawa mara baada ya ndege aliyokuwa amepanda kutoka Dar Es Salaam kutunguliwa ikijaribu kutua Nchini humo.
1994 - Rais Cyprien Ntaryamira wa Burundi anauwawa mara baada ya ndege aliyokuwa amepanda yeye pamoja na Rais wa Rwanda kudunguliwa ikikaribia kutua nchini Rwanda ikitokea Tanzania.
2000 - Habib Bourguiba anafariki Dunia.
Alikiwa ni Rais wa kwanza wa Tunisia.
2000 - Habib Bourguiba anafariki Dunia.
Alikiwa ni Rais wa kwanza wa Tunisia.
Ngoja nijalibuTuma PM kwenda JamiiForums
So sad!!!!
R.I.P Cyprien Ntaryamira1994 - Rais Cyprien Ntaryamira wa Burundi anauwawa mara baada ya ndege aliyokuwa amepanda yeye pamoja na Rais wa Rwanda kudunguliwa ikikaribia kutua nchini Rwanda ikitokea Tanzania.
R.I.P Juvenal Habyariamana1994 -Rais Juvenal Habyriamana wa Rwanda anauwawa mara baada ya ndege aliyokuwa amepanda kutoka Dar Es Salaam kutunguliwa ikijaribu kutua Nchini humo.
H.B.D Miss Ivone Orsini1988 - Ivone Orsini anazaliwa.
Alikiwa ni Miss World mwaka 2008 akitokea nchi ya Puerto Rico.
H.B.D na pole Fabrice Mwamba..Mungu awe pamoja nawe daima na umtumikie, hakika Muda wako ulikuwa bado mshukuru sana Mungu ,dk 78 ni saa nzima na dk 18,nakumbuka kuna tangazo zamani lilisema ..moyo wangu ukiacha kufanya kazi ingawaje kwa dk tatu..uhai wangu umetoweka...ni kwa neema yupo hai.1988 - Fabrice Muamba anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Arsenal, Birmingham City na Bolton.
Licha ya Kuzaliwa, Kinshasa, Zaire aliamua kuchukua Uraia wa England.
Alistaafu soka mapema tu mara baada ya kudondoka uwanjani na moyo wake kusimama kwa dakika 78 bila kufanya kazi.
Shabiki mmoja aliyekuwa uwanjani ambaye kitaaluma ni Daktari ndiye aliyeokoa maisha yake kwa kumpatia huduma ya kwanza.
Ilikuwa ni mechi ya Kombe la F.A ambapo Bolton walicheza dhidi ya Tottenham.
H.B D Rafael Correa1965 - Rafael Correa anazaliwa.
Ni Rais wa 54 wa nchi ya Ecuador.
H.B.D Paul Daniel's1938 - Paul Daniels anazaliwa.
Alikuwa ni mwanamazingaombwe kutoka nchini Uingereza.
Anatajwa kama mtu aliyeleta mapinduzi makubwa katika sanaa ya Mazingaombwe ulimwenguni.
Analindwa1984 - Baadhi ya Wanajeshi wa Jeshi la Cameroon wanajaribu kufanya Jaribio la Kupindua Serikali ya Rais wa Nchi hiyo Paul Biya lakini Jaribio hilo linashindikana.
Paul Biya yupo madarakani kwa miaka 37 mpaka sasa.
Hongeera ABBA GROUP NAWAPENDAAA1974 - Bendi ya muziki ya ABBA yapata tuzo ya Eurovision Song Contest kwa nyimbo yao ya Waterloo.
Inaumiza sana na haisahauliki kwa kwweli wapumzike kwa Amani watu wote waliouawaLeo Katika Historia:
1994 - Mauaji ya Kimbari nchini Rwanda yaanza ni baada ya kutokea mauaji ya Marais wawili wa Burundi na Rwanda kwa ndege waliyopanda kulipuliwa ikiwa inatokea Dar Ea Salaam.
