Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
ThanksPoleeee mke wangu!
Am right her my baby!
Ila asante kwa zawadi
ThanksPoleeee mke wangu!
Am right her my baby!
Ila asante kwa zawadi
Daaaahuna no yangu pm una access ya kuingia mambo ya kuongea humu vitu private si sawa
sipokei no ngeni shemela kuna nn kwaniWewe na wewe!
Ngoja nikupigie ! Ole wako usipokee
Wewe ukiona no. Inaishia na 90 pokeasipokei no ngeni shemela kuna nn kwani
eb subili kwanzaWewe ukiona no. Inaishia na 90 pokea
pole sanaDaaaah
Usijali, nitakuwa sawa
Asante mamy wangupole sana
Habari za jioni
Sijambo mkuusalama sana, hujambo?
Binamu shikamoosalama sana, hujambo?
nishaitoa mm sitaki mchezoYesuuu...
Unataka kutoa hiyo laini nini?
Safi sana mdumu katika upendoWhaaaaaaat a suprise jamaani..
Huyu mtoto wa kitanga anaiuwa sasa...
Nyagei nikisema Nampenda Sakayo bure anashangaa !
Mapenzi bhana ni kitu cha ajabu sana..! Kuna vitu vidogo vidogo unafanyiwa tuu alafu unampenda mpaka basi...
Sasa hivi nimepokea Zawadi ya kalamu! Just a pen..! Just one pen! Ila kwangu ni zawadi kubwa mno..
Imeandikwa Id yangu ya Jf..! Mimi sijui Sakayo kanunua wapi...
Kalamu imeandikwa Transcend..then Good memories....bla blaa..
![]()
Huyu mwanamke nampenda sana
Sakayo nakupenda mke wangu..
Asante kwa zawadi ! I love you..
Binamu shikamoo
hahahhhh nimecheka sana me mzima hofu kwako binamu kitu cha weed vipi na hali ya hewa hiiUsiku huwa hatuamkiani hata kama tunaheshimiana mno, ukipenda kuamkiwa usiku utaota mvi ukilala.
Za leo binamu, 😀
Njema umeshindaje pole na safari karibuHabari za jioni
Amina mamy