Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ukurasa wa Twitter wa Shirikisho la Soka Barani Ulaya(UEFA) waweka picha ya Mtanzania, Mbwana Ally Samatta na kumtaja kuwa ni mchezaji wa kuangaliwa.

- Mshambuliaji huyo hatari amefunga magoli sita katika michezo mitano ya mwisho aliyoichezea Klabu yake ya KRC Genk.
a968563261d2828fda87cadf2dc11ecd.jpg
hongera zake sana
 
Thanks honey
It's always nice to have you by my side!!!
Whaaaaaaat a suprise jamaani..

Huyu mtoto wa kitanga anaiuwa sasa...

Nyagei nikisema Nampenda Sakayo bure anashangaa !

Mapenzi bhana ni kitu cha ajabu sana..! Kuna vitu vidogo vidogo unafanyiwa tuu alafu unampenda mpaka basi...

Sasa hivi nimepokea Zawadi ya kalamu! Just a pen..! Just one pen! Ila kwangu ni zawadi kubwa mno..

Imeandikwa Id yangu ya Jf..! Mimi sijui Sakayo kanunua wapi...

Kalamu imeandikwa Transcend..then Good memories....bla blaa..

c821675104e40e43f6e39fdcaa74283c.jpg



Huyu mwanamke nampenda sana

Sakayo nakupenda mke wangu..

Asante kwa zawadi ! I love you..
 
Whaaaaaaat a suprise jamaani..

Huyu mtoto wa kitanga anaiuwa sasa...

Nyagei nikisema Nampenda Sakayo bure anashangaa !

Mapenzi bhana ni kitu cha ajabu sana..! Kuna vitu vidogo vidogo unafanyiwa tuu alafu unampenda mpaka basi...

Sasa hivi nimepokea Zawadi ya kalamu! Just a pen..! Just one pen! Ila kwangu ni zawadi kubwa mno..

Imeandikwa Id yangu ya Jf..! Mimi sijui Sakayo kanunua wapi...

Kalamu imeandikwa Transcend..then Good memories....bla blaa..

c821675104e40e43f6e39fdcaa74283c.jpg



Huyu mwanamke nampenda sana

Sakayo nakupenda mke wangu..

Asante kwa zawadi ! I love you..


Nafurahi kama umeipenda love!!!

Nakupenda sana T wangu
 
Kwanza pole na majukumu!!

Baada ya siku ndeeefu ya leo iliyo isha kwa kilio kwangu, mtu wa kwanza kabisaa kumuwaza ni wewe T wangu!!!

Sijui kwa nini siku ya leo imeharibu tabasamu langu la wiki nzima ila naamini sababu upo hamna litakaloharibika....

Love you husband
Poleeee mke wangu!


Am right her my baby!

Ila asante kwa zawadi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom