Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Asante sanaMie Sijambo Kakangu
Asante sanaMie Sijambo Kakangu
hivi haujawahi kuwa na baby wa chuga utupe ka mrejesho baba wattoMweeeeeehuuuu weweeewe
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Shunie mamy, mbona nlimsamehe siku ile ile jamani!!!nimecheka kwa sautiQuigley nakumbuka maneno yako ujue mapenzi kitu kingine unaweza chizika sakayo hii adhabu inatosha eb msamehe
Yaani ww kaa kimya ukiendelea nitaharibu hutaaminiShemu wangu sakayo mkubwa wake shunie
unatuumiza machoSIO MARA YAKO YA KWANZA
GOOD BOY.Sakayo dadangu Nakupenda sana:
Naomba nikushauri kitu na unisikilize mimi kakako.
-nimeamini Trancsend akupenda
-mpe nafasi tena
-usiwe mjinga kuacha dhahabu kisa imedondokea matopeni, ifute ichukue thamani yake iko pale pale
-uwe jasiri kutetea na kulinda hisia zako na asikutibulie mtu.
Sahau yalopita chukua kitu chako songa mbele
Kuwa siliasiiii utani wetu unawaponza wengine bhanaaa we si utuliee na fakalavaHahahahah ww shujaa wa kudanganya
Ni typing error shem, 'nimekuja' nlitaka kumaanisha hiloumekula nini shem??
Sakayo una haribu movie bhana, badilika kipenziPale mbowe anapomtakatisha Lowasa.
Wala sikulaumu, uzuri bi mkubwa yupo humu.
Halafu shemeji mie nimekula kuwasalimieni tu jamani. Hebu tuyaache haya
Usisemee hivoooNilimpenda sana, ndo maana nikamuachia mke mkubwa walisongeshe
nakuelewa sana kuna kauli uliongea kuhusu Transcend ata ww ilishakutokea ujue T akili si yake maskinHebu niambie unanielewaje!
Kwanini¿¿unatuumiza macho
Wala usijali shem.Ni typing error shem, 'nimekuja' nlitaka kumaanisha hilo
Kuwa siliasi bhasiiiTena ww ndo utulie ukizid nizungua ntakuharibia ohhhh
Sakayo popote ulipo msamehe mdogo wangu Tnimecheka kwa sautiQuigley nakumbuka maneno yako ujue mapenzi kitu kingine unaweza chizika sakayo hii adhabu inatosha eb msamehe
Hahaha ww naona ushachanganyikiwa hujui hta kiswahilifakalava huyo..
Clkey kamjibu fakalava
Fakalava anamjibu clkey
Clkey anamjibu fakalava
Convo zinaendelea
Hapa Clkey anakuja kuniharibia conversation yangu na Sakayo.
Sasa Sakayo Naamini umeona haka kamchezo kanavyofanya mama..
Clkey anakuchezea akili mama, Clkey yupo na Fakalava..nimekusanya hii convo nikuoneshe ukweli wa mambo..
Please Sakayo wangu! Please Utamu wangu! Please roho yangu...
Rudi mke wa maisha yangu...!
Nafurahi kusikia dadanguNajua Kakangu, mie Nakupenda wewe apo zaidi
AsanteKaribuuu
aiseeHahahahah ww shujaa wa kudanganya
Hahaaaaa!nimecheka kwa sautiQuigley nakumbuka maneno yako ujue mapenzi kitu kingine unaweza chizika sakayo hii adhabu inatosha eb msamehe