Makapuku Forum

Makapuku Forum

fakalava huyo..

Clkey kamjibu fakalava

Fakalava anamjibu clkey

Clkey anamjibu fakalava

Convo zinaendelea



Hapa Clkey anakuja kuniharibia conversation yangu na Sakayo.

Sasa Sakayo Naamini umeona haka kamchezo kanavyofanya mama..

Clkey anakuchezea akili mama, Clkey yupo na Fakalava..nimekusanya hii convo nikuoneshe ukweli wa mambo..

Please Sakayo wangu! Please Utamu wangu! Please roho yangu...

Rudi mke wa maisha yangu...!
HAHAAAAAA STERLING NEVER DIE
UMEJITAHIDI NA POLE KWA MCHOKO WA KUKUSANYA.
 
Nope
Amemuoa mdogo wangu ujue
Shemu hakika T ni mwanaume wa pekee nimemchallenge naona kweli anakufaa sana really anakupenda najua na wewe unampenda ila kila mara huwa nakwambia kapuku tuna utani mwingi


Nisamehe mm nimekosea sana ila sikujua kama itakuwa hivi kiukweli ulikuwa utani wetu wa kawaida na mm huwa ananitania hivo

Plz and plz kwa heshima yangu kwako tusamehe rudisha moyo mama

Mdogo wako kachukia hajapenda utani wangu

Na jana tulifanya kukimbiza Uzi wetu kulikuwa kumepoa sana


He need and love u

Plz sakayo
 
Shemu hakika T ni mwanaume wa pekee nimemchallenge naona kweli anakufaa sana really anakupenda najua na wewe unampenda ila kila mara huwa nakwambia kapuku tuna utani mwingi


Nisamehe mm nimekosea sana ila sikujua kama itakuwa hivi kiukweli ulikuwa utani wetu wa kawaida na mm huwa ananitania hivo

Plz and plz kwa heshima yangu kwako tusamehe rudisha moyo mama

Mdogo wako kachukia hajapenda utani wangu

Na jana tulifanya kukimbiza Uzi wetu kulikuwa kumepoa sana


He need and love u

Plz sakayo
SIO MARA YAKO YA KWANZA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom