Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
hahahh sio vita mm nimeuliza tu naonaga tu swala la kujibebisha kwao ni big no naona ukiwa nao chumbani utaambiwa oyaa nimeshavua nguo njo sasaHiyo vita simoooo
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

hahahh sio vita mm nimeuliza tu naonaga tu swala la kujibebisha kwao ni big no naona ukiwa nao chumbani utaambiwa oyaa nimeshavua nguo njo sasaHiyo vita simoooo
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Msamehe T pleaseKaka
Weww shemeji bhnaaa!Unajitoa faham et, nan shem yko?
hivi kwa nn madem wa chuga n wasela hivi kama wanaume![]()
HAHAAAAAA STERLING NEVER DIEfakalava huyo..
Clkey kamjibu fakalava
Fakalava anamjibu clkey
Clkey anamjibu fakalava
Convo zinaendelea
Hapa Clkey anakuja kuniharibia conversation yangu na Sakayo.
Sasa Sakayo Naamini umeona haka kamchezo kanavyofanya mama..
Clkey anakuchezea akili mama, Clkey yupo na Fakalava..nimekusanya hii convo nikuoneshe ukweli wa mambo..
Please Sakayo wangu! Please Utamu wangu! Please roho yangu...
Rudi mke wa maisha yangu...!
Pole mkuu,Mungu atatengeneza njia mahali pasipo na njiaMama mchungaji unikumbuke ktk maombi yako..
Shemu hakika T ni mwanaume wa pekee nimemchallenge naona kweli anakufaa sana really anakupenda najua na wewe unampenda ila kila mara huwa nakwambia kapuku tuna utani mwingiNope
Amemuoa mdogo wangu ujue
Sijui aisee!hivi kwa nn madem wa chuga n wasela hivi kama wanaume![]()


Pole mkuu,Mungu atatengeneza njia mahali pasipo na njia
Bora uongee ukweli mkuu..Alafu wewe si upo na fakalava
Mbona unapenda muingilia mapenzi ya watu
Umekuja kutafuta nani sasa hivi
Mweeeeeehuuuu weweeewehahahh sio vita mm nimeuliza tu naonaga tu swala la kujibebisha kwao ni big no naona ukiwa nao chumbani utaambiwa oyaa nimeshavua nguo njo sasa![]()

IMEJIPOSTI.....labda huwa wamekeketwa
Sorry, simu kaishika muhudumu , hayo ya juu sijaandika Mimi.
Ongeza kinywaji bartender
Weww shemeji bhnaaa!
Sasa hivi unakula konzi..
aaache mawenge yake bwanaahHapanayy lazima usimsahau kwa alivhokutania utani gani ule
....labda huwa wamekeketwa
Sorry, simu kaishika muhudumu , hayo ya juu sijaandika Mimi.
Ongeza kinywaji bartender

Mie Sijambo KakanguU hali gani my
SIO MARA YAKO YA KWANZAShemu hakika T ni mwanaume wa pekee nimemchallenge naona kweli anakufaa sana really anakupenda najua na wewe unampenda ila kila mara huwa nakwambia kapuku tuna utani mwingi
Nisamehe mm nimekosea sana ila sikujua kama itakuwa hivi kiukweli ulikuwa utani wetu wa kawaida na mm huwa ananitania hivo
Plz and plz kwa heshima yangu kwako tusamehe rudisha moyo mama
Mdogo wako kachukia hajapenda utani wangu
Na jana tulifanya kukimbiza Uzi wetu kulikuwa kumepoa sana
He need and love u
Plz sakayo