Makapuku Forum

Makapuku Forum

8070338bc7b6831434e2949a0be1bb1b.jpg
Duhhh!better live others business and mind yours only...
 
Shemu hakika T ni mwanaume wa pekee nimemchallenge naona kweli anakufaa sana really anakupenda najua na wewe unampenda ila kila mara huwa nakwambia kapuku tuna utani mwingi


Nisamehe mm nimekosea sana ila sikujua kama itakuwa hivi kiukweli ulikuwa utani wetu wa kawaida na mm huwa ananitania hivo

Plz and plz kwa heshima yangu kwako tusamehe rudisha moyo mama

Mdogo wako kachukia hajapenda utani wangu

Na jana tulifanya kukimbiza Uzi wetu kulikuwa kumepoa sana


He need and love u

Plz sakayo
Pale mbowe anapomtakatisha Lowasa.

Wala sikulaumu, uzuri bi mkubwa yupo humu.

Halafu shemeji mie nimekula kuwasalimieni tu jamani. Hebu tuyaache haya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom