Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,266
Kitabu cha IsayaPole mkuu,Mungu atatengeneza njia mahali pasipo na njia
Kitabu cha IsayaPole mkuu,Mungu atatengeneza njia mahali pasipo na njia
Amina mkuu..Pole mkuu,Mungu atatengeneza njia mahali pasipo na njia
nimecheka kwa sautifakalava huyo..
Clkey kamjibu fakalava
Fakalava anamjibu clkey
Clkey anamjibu fakalava
Convo zinaendelea
Hapa Clkey anakuja kuniharibia conversation yangu na Sakayo.
Sasa Sakayo Naamini umeona haka kamchezo kanavyofanya mama..
Clkey anakuchezea akili mama, Clkey yupo na Fakalava..nimekusanya hii convo nikuoneshe ukweli wa mambo..
Please Sakayo wangu! Please Utamu wangu! Please roho yangu...
Rudi mke wa maisha yangu...!

Quigley nakumbuka maneno yako ujue mapenzi kitu kingine unaweza chizika sakayo hii adhabu inatosha eb msameheumekula nini shem??Pale mbowe anapomtakatisha Lowasa.
Wala sikulaumu, uzuri bi mkubwa yupo humu.
Halafu shemeji mie Nimekula kuwasalimieni tu jamani. Hebu tuyaache haya
....labda huwa wamekeketwa
Sorry, simu kaishika muhudumu , hayo ya juu sijaandika Mimi.
Ongeza kinywaji bartender



hahahhhhHAHAAAAAA STERLING NEVER DIE
UMEJITAHIDI NA POLE KWA MCHOKO WA KUKUSANYA.
Najua Kakangu, mie Nakupenda wewe apo zaidiNakupenda dadangu
Hahahahah ww shujaa wa kudanganyaBaby
Don't listen to the world..! Watakupoteza tuu..
Get back please..!
Nakumiss sana
Nilimpenda sana, ndo maana nikamuachia mke mkubwa walisongesheUnampenda sana ??
Hapana usiseme hivo clkey ni kapuku mkubwa humu anajua utanii na kuna mda tukitaniana humu mtu anaweza sema tuko siliasi si unajua wengine huku ndo faraja yetu pakipoa tunatafuta chochote challenges ,kero n.kPale mbowe anapomtakatisha Lowasa.
Wala sikulaumu, uzuri bi mkubwa yupo humu.
Halafu shemeji mie nimekula kuwasalimieni tu jamani. Hebu tuyaache haya
Tena ww ndo utulie ukizid nizungua ntakuharibia ohhhhAlafu wewe si upo na fakalava
Mbona unapenda muingilia mapenzi ya watu
Umekuja kutafuta nani sasa hivi
Shemu hakika T ni mwanaume wa pekee nimemchallenge naona kweli anakufaa sana really anakupenda najua na wewe unampenda ila kila mara huwa nakwambia kapuku tuna utani mwingi
Nisamehe mm nimekosea sana ila sikujua kama itakuwa hivi kiukweli ulikuwa utani wetu wa kawaida na mm huwa ananitania hivo
Plz and plz kwa heshima yangu kwako tusamehe rudisha moyo mama
Mdogo wako kachukia hajapenda utani wangu
Na jana tulifanya kukimbiza Uzi wetu kulikuwa kumepoa sana
He need and love u
Plz sakayo




Karibuuu
that's why i love uShemu hakika T ni mwanaume wa pekee nimemchallenge naona kweli anakufaa sana really anakupenda najua na wewe unampenda ila kila mara huwa nakwambia kapuku tuna utani mwingi
Nisamehe mm nimekosea sana ila sikujua kama itakuwa hivi kiukweli ulikuwa utani wetu wa kawaida na mm huwa ananitania hivo
Plz and plz kwa heshima yangu kwako tusamehe rudisha moyo mama
Mdogo wako kachukia hajapenda utani wangu
Na jana tulifanya kukimbiza Uzi wetu kulikuwa kumepoa sana
He need and love u
Plz sakayo
umenifurahisha sanaHapo kwenye red niDuhhh!better Live others business and mind yours only...
hahahhhh sijakosea kumbeSijui aisee!
Basi tuu wako hivyoo![]()
Sakayo dadangu Nakupenda sana:Bora uongee ukweli mkuu..
Hapana
Niko poaUko poa lakini??
Nitake rdhi aisee kam huna kingine piga kimya, nngekuwa kama mwanamme huyo dadaako angekuwa mchepuko ama basi umejisikia kuongea tuhivi kwa nn madem wa chuga n wasela hivi kama wanaume![]()