Makapuku Forum

Makapuku Forum

fakalava huyo..

Clkey kamjibu fakalava

Fakalava anamjibu clkey

Clkey anamjibu fakalava

Convo zinaendelea



Hapa Clkey anakuja kuniharibia conversation yangu na Sakayo.

Sasa Sakayo Naamini umeona haka kamchezo kanavyofanya mama..

Clkey anakuchezea akili mama, Clkey yupo na Fakalava..nimekusanya hii convo nikuoneshe ukweli wa mambo..

Please Sakayo wangu! Please Utamu wangu! Please roho yangu...

Rudi mke wa maisha yangu...!
nimecheka kwa sauti Quigley nakumbuka maneno yako ujue mapenzi kitu kingine unaweza chizika sakayo hii adhabu inatosha eb msamehe
 
Pale mbowe anapomtakatisha Lowasa.

Wala sikulaumu, uzuri bi mkubwa yupo humu.

Halafu shemeji mie nimekula kuwasalimieni tu jamani. Hebu tuyaache haya
Hapana usiseme hivo clkey ni kapuku mkubwa humu anajua utanii na kuna mda tukitaniana humu mtu anaweza sema tuko siliasi si unajua wengine huku ndo faraja yetu pakipoa tunatafuta chochote challenges ,kero n.k

Plz nakuomba mara ngapi nakwambia uzoee utani wetu plz shemu plz

Bhasi unataka wote tuame kapuku


Au unataka mdogo wako anikimbiee plz najutia utani wangu
 
Shemu hakika T ni mwanaume wa pekee nimemchallenge naona kweli anakufaa sana really anakupenda najua na wewe unampenda ila kila mara huwa nakwambia kapuku tuna utani mwingi


Nisamehe mm nimekosea sana ila sikujua kama itakuwa hivi kiukweli ulikuwa utani wetu wa kawaida na mm huwa ananitania hivo

Plz and plz kwa heshima yangu kwako tusamehe rudisha moyo mama

Mdogo wako kachukia hajapenda utani wangu

Na jana tulifanya kukimbiza Uzi wetu kulikuwa kumepoa sana


He need and love u

Plz sakayo
 
Shemu hakika T ni mwanaume wa pekee nimemchallenge naona kweli anakufaa sana really anakupenda najua na wewe unampenda ila kila mara huwa nakwambia kapuku tuna utani mwingi


Nisamehe mm nimekosea sana ila sikujua kama itakuwa hivi kiukweli ulikuwa utani wetu wa kawaida na mm huwa ananitania hivo

Plz and plz kwa heshima yangu kwako tusamehe rudisha moyo mama

Mdogo wako kachukia hajapenda utani wangu

Na jana tulifanya kukimbiza Uzi wetu kulikuwa kumepoa sana


He need and love u

Plz sakayo
that's why i love u umenifurahisha sana
 
Bora uongee ukweli mkuu..
Sakayo dadangu Nakupenda sana:
Naomba nikushauri kitu na unisikilize mimi kakako.
-nimeamini Trancsend akupenda
-mpe nafasi tena
-usiwe mjinga kuacha dhahabu kisa imedondokea matopeni, ifute ichukue thamani yake iko pale pale
-uwe jasiri kutetea na kulinda hisia zako na asikutibulie mtu.
Sahau yalopita chukua kitu chako songa mbele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom