Makapuku Forum

Makapuku Forum

fakalava huyo..
Nambie wangu
Clkey kamjibu fakalava
Niko hapa ofcn, nipitie tuondoke wote.
Fakalava anamjibu clkey
Subiri nfunge ofisi nije
Clkey anamjibu fakalava
Siyo kuhamia, hii inaitwa mwenye nyumba karudi mpangaji atahamishwa kwa mguvu.
Convo zinaendelea
Helo helo heloooooo ya baby hahahha


Hapa Clkey anakuja kuniharibia conversation yangu na Sakayo.

Sasa Sakayo Naamini umeona haka kamchezo kanavyofanya mama..

Clkey anakuchezea akili mama, Clkey yupo na Fakalava..nimekusanya hii convo nikuoneshe ukweli wa mambo..

Please Sakayo wangu! Please Utamu wangu! Please roho yangu...

Rudi mke wa maisha yangu...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom