Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji115][emoji115] fakalava huyo..
Nambie wangu
Clkey kamjibu fakalava [emoji115]
Niko hapa ofcn, nipitie tuondoke wote.
Fakalava anamjibu clkey [emoji115]
Subiri nfunge ofisi nije
Clkey anamjibu fakalava[emoji115]
Siyo kuhamia, hii inaitwa mwenye nyumba karudi mpangaji atahamishwa kwa mguvu.
Convo zinaendelea [emoji115]
Helo helo heloooooo ya baby hahahha
[emoji115][emoji115][emoji115]

Hapa Clkey anakuja kuniharibia conversation yangu na Sakayo.

Sasa Sakayo Naamini umeona haka kamchezo kanavyofanya mama..

Clkey anakuchezea akili mama, Clkey yupo na Fakalava..nimekusanya hii convo nikuoneshe ukweli wa mambo..

Please Sakayo wangu! Please Utamu wangu! Please roho yangu...

Rudi mke wa maisha yangu...!
 
Back
Top Bottom