Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Uchocheziiiihivi haujawahi kuwa na baby wa chuga utupe ka mrejesho baba watto![]()
Uchocheziiiihivi haujawahi kuwa na baby wa chuga utupe ka mrejesho baba watto![]()
Mtani calm downTena ww ndo utulie ukizid nizungua ntakuharibia ohhhh
ShemHapana usiseme hivo clkey ni kapuku mkubwa humu anajua utanii na kuna mda tukitaniana humu mtu anaweza sema tuko siliasi si unajua wengine huku ndo faraja yetu pakipoa tunatafuta chochote challenges ,kero n.k
Plz nakuomba mara ngapi nakwambia uzoee utani wetu plz shemu plz
Bhasi unataka wote tuame kapuku
Au unataka mdogo wako anikimbiee plz najutia utani wangu
Toka umeanza jibebisha umepat nn labda kwa mfano?hahahh sio vita mm nimeuliza tu naonaga tu swala la kujibebisha kwao ni big no naona ukiwa nao chumbani utaambiwa oyaa nimeshavua nguo njo sasa![]()
utamwalibiaje tenaTena ww ndo utulie ukizid nizungua ntakuharibia ohhhh
Nooooooo!Nilimpenda sana, ndo maana nikamuachia mke mkubwa walisongeshe
Mm huyu ama mwingineWeww shemeji bhnaaa!
Sasa hivi unakula konzi..
Mitaa hii kaingia bundi, hakuna cha bae, ni bye bye .He was
Sakayo dadangu Nakupenda sana:
Naomba nikushauri kitu na unisikilize mimi kakako.
-nimeamini Trancsend akupenda
-mpe nafasi tena
-usiwe mjinga kuacha dhahabu kisa imedondokea matopeni, ifute ichukue thamani yake iko pale pale
-uwe jasiri kutetea na kulinda hisia zako na asikutibulie mtu.
Sahau yalopita chukua kitu chako songa mbele

Acha bhanaNitake rdhi aisee kam huna kingine piga kimya, nngekuwa kama mwanamme huyo dadaako angekuwa mchepuko ama basi umejisikia kuongea tu
Mwenyewe najua maneno ya shombo
povu vipiiiiiNitake rdhi aisee kam huna kingine piga kimya, nngekuwa kama mwanamme huyo dadaako angekuwa mchepuko ama basi umejisikia kuongea tu
Mwenyewe najua maneno ya shombo

Hta hyo nayo sifa kama hujui....labda huwa wamekeketwa
Sorry, simu kaishika muhudumu , hayo ya juu sijaandika Mimi.
Ongeza kinywaji bartender
Mmmmh, I know you love him muchthat's why i love uumenifurahisha sana
Mtani huu sasa ubabeYaani ww kaa kimya ukiendelea nitaharibu hutaamini
Mara ya kwanza Lee anaunga mkono kile T anachokiamini..Hapana usiseme hivo clkey ni kapuku mkubwa humu anajua utanii na kuna mda tukitaniana humu mtu anaweza sema tuko siliasi si unajua wengine huku ndo faraja yetu pakipoa tunatafuta chochote challenges ,kero n.k
Plz nakuomba mara ngapi nakwambia uzoee utani wetu plz shemu plz
Bhasi unataka wote tuame kapuku
Au unataka mdogo wako anikimbiee plz najutia utani wangu
Kiruuuu kumbe kuna mapenz ya kweli hhahahahhaha Yesu nafwaa mieShemu hakika T ni mwanaume wa pekee nimemchallenge naona kweli anakufaa sana really anakupenda najua na wewe unampenda ila kila mara huwa nakwambia kapuku tuna utani mwingi
Nisamehe mm nimekosea sana ila sikujua kama itakuwa hivi kiukweli ulikuwa utani wetu wa kawaida na mm huwa ananitania hivo
Plz and plz kwa heshima yangu kwako tusamehe rudisha moyo mama
Mdogo wako kachukia hajapenda utani wangu
Na jana tulifanya kukimbiza Uzi wetu kulikuwa kumepoa sana
He need and love u
Plz sakayo
Clkey uwe na adabu basi shemeji yangu ...Tena ww ndo utulie ukizid nizungua ntakuharibia ohhhh
hivi si umwalibie tu wengine tuna moyo wa chumaYaani ww kaa kimya ukiendelea nitaharibu hutaamini