Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
Morning dearMorning family
Morning dearMorning family
Leo katika Historia:
1990 - Rais wa Marekani George H.W. Bush anampatia Medali/Nishani ya dhahabu mwanariadha wa Nchi hiyo Marehemu Jesse Owens kwa mchango wake katika riadha na kuipelekea sifa kubwa nchi yake.
Nishani hizo ambazo hutolewa na Rais hujulikana kama Congressional Gold Medal ambazo hupewa kwa watu mbalimbali nchini humo katika kutambua michango yao katika Nchi.
Tuzo ya Jesse ilipokelewa na Familia yake kwakuwa yeye mwenyewe alishafariki Dunia.
Poa dear karibuMko poa humu
1945 - Rodrigo Durtete anazaliwa.
Ni Rais wa 16 na wa sasa wa Philippines.
Mmoja kati ya viongozi wenye misimamo thabiti dhidi ya madawa ya kulevya.
HahahahaHa hahhahahah, peaneni tu ila mjue hamko pekeenu.
1946 - Alejandro Toledo anazaliwa.
Ni mwanasiasa na Rais wa 48 wa Peru.
HakikaTukumbuke pia maneno ya mama mchungaji alivyosema jana mchana kwamba vidume tupate muda tupumzike ili tuwe na strong health
Kweli nawaombea sanaHa hahahhaha, kama hajatuonyesha baba mchungaji hana haki ya kuyanena haya.
Atatuombea tuwe strong
huyu jamaa kiboko![]()
![]()
![]()
Siyo zugazuga za Bashite
....
Asante Mussolin na Bitoz kwa pichaLeo katika Historia;
NIWATAKIE SIKU NJEMA.
1946 - Henry Paulson anazaliwa.
Alikuwa ni mwanasiasa na Waziri wa Fedha wa 74 nchini Marekani.
Kampany umepata season unataka je huyu anekupa kampan atakua anakuangalia tu ukiwa na seasons tena siku ya kwanza ..sio kuongea kufahamiana na kushauriana?Sawa ila mm sina usingizi namalizia kasizoni kangu hapa
Labda uwe mfanyakazi emergency room