BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
KaribuuuuHodi humu
KaribuuuuHodi humu
Mweh!...umepewa kampani tu, huku kuanza kumuita ukhuty beibe kumeanzia wapi?
1953 - Melchior Ndadaye anazaliwa.
Alikuwa ni Rais wa 4 nchini Burundi.
Ndio Rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia nchini Burundi.
Alidumu madarakani kwa miezi 3 tu kabla ya kuuwawa katika Jaribio la Mapinduzi lililoshindwa kuangusha Serikali yake.
1959 - Laura Chinchilla anazaliwa.
Alikuwa ni Rais wa Costa Rica kuanzia 2010 mpaka 2014.
Ndio mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo nchini humo.
1960 - Jose Maria Neves anazaliwa.
Alikuwa ni Waziri Mkuu wa Cape Verde.
1946 - Alejandro Toledo anazaliwa.
Ni mwanasiasa na Rais wa 48 wa Peru.
Naona Maprezidaa birthdayz1945 - Rodrigo Durtete anazaliwa.
Ni Rais wa 16 na wa sasa wa Philippines.
Mmoja kati ya viongozi wenye misimamo thabiti dhidi ya madawa ya kulevya.
1984 - Chistopher Samba anazaliwa.
Beki wa zamani wa Blackburn Rovers, QPR na timu ya taifa ya Congo.
1959 - Laura Chinchilla anazaliwa.
Alikuwa ni Rais wa Costa Rica kuanzia 2010 mpaka 2014.
Ndio mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo nchini humo.
Siku za Maprezidaa.....Sizo lini???1953 - Melchior Ndadaye anazaliwa.
Alikuwa ni Rais wa 4 nchini Burundi.
Ndio Rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia nchini Burundi.
Alidumu madarakani kwa miezi 3 tu kabla ya kuuwawa katika Jaribio la Mapinduzi lililoshindwa kuangusha Serikali yake.
Merci Papaa Musso, mutu ya akili mingiLeo katika Historia;
NIWATAKIE SIKU NJEMA.
Do you mean Hippopotamus???huyu jamaa kiboko
Hii nchi Kumbe walishamwaga damu ya Rais kabla ya ile ya 1994!!!1953 - Melchior Ndadaye anazaliwa.
Alikuwa ni Rais wa 4 nchini Burundi.
Ndio Rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia nchini Burundi.
Alidumu madarakani kwa miezi 3 tu kabla ya kuuwawa katika Jaribio la Mapinduzi lililoshindwa kuangusha Serikali yake.
1986 - Lady Gaga anazaliwa.
Ni mwanamuziki mwenye vituko kutoka nchini Marekani.
Yap, Hitler alimvulia kofia.![]()
![]()
Nakumbuka Olympic alivyomnyamazisha Hitler![]()
......
Pamoja sana.Asante Mussolin na Bitoz kwa picha
Leo ni siku yao.Naona Maprezidaa birthdayz
Mwezi wa 10 au 11Siku za Maprezidaa.....Sizo lini???