Makapuku Forum

Makapuku Forum

1953 - Melchior Ndadaye anazaliwa.

Alikuwa ni Rais wa 4 nchini Burundi.

Ndio Rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia nchini Burundi.

Alidumu madarakani kwa miezi 3 tu kabla ya kuuwawa katika Jaribio la Mapinduzi lililoshindwa kuangusha Serikali yake.
5a803c70fa335f32a60513a2ccc7849b.jpg
71521f8770c9c6fb8a8f7046a63a759c.jpg
b93e1eb04be9b9c518dff60365383bb3.jpg
983a48f833089c75b6f4da9b5c28ff18.jpg
African Polifix
.....
 
1959 - Laura Chinchilla anazaliwa.

Alikuwa ni Rais wa Costa Rica kuanzia 2010 mpaka 2014.

Ndio mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo nchini humo.

1953 - Melchior Ndadaye anazaliwa.

Alikuwa ni Rais wa 4 nchini Burundi.

Ndio Rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia nchini Burundi.

Alidumu madarakani kwa miezi 3 tu kabla ya kuuwawa katika Jaribio la Mapinduzi lililoshindwa kuangusha Serikali yake.
Siku za Maprezidaa.....Sizo lini???
 
1953 - Melchior Ndadaye anazaliwa.

Alikuwa ni Rais wa 4 nchini Burundi.

Ndio Rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia nchini Burundi.

Alidumu madarakani kwa miezi 3 tu kabla ya kuuwawa katika Jaribio la Mapinduzi lililoshindwa kuangusha Serikali yake.
Hii nchi Kumbe walishamwaga damu ya Rais kabla ya ile ya 1994!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom