Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hubby
Naamini umeamka salama mume wangu.

Najua ni kiasi gani wanipenda, Wala haiitaji elimu ya PhD kuligundua hilo.
Ntunzie tu penzi langu ndo la muhimu, Sina moyo wa kuweza kuvumilia maumivu ya usaliti mume wangu.

Nakupenda, Naomba nkakutengee maji ya kuoga tuyawahi majukumu.


Mornie my lovely husband!!!
Morning utamu wangu!

We had a nice bedtime yesterday..

Nakupenda pia Princess wangu S

Ngoja tukawajibike mama!

I love you my dream woman!
 
Morning family..!

Leo ni siku nyingine !

Lile ulilopanga jana hakikisha linafanikiwa leo leo..kama kuna ambalo jana hukumaliza hakikisha unalimaliza leo


Morning motivational

changamoto ndio mwanzo wa ufumbuzi ..penda sana kuwa mtu wa changamoto.

Face the reality..! Make it happen
 
a484ed7665ff87f1bb59cc5fc08e45d7.jpg
 
Leo katika Historia:

1990 - Rais wa Marekani George H.W. Bush anampatia Medali/Nishani ya dhahabu mwanariadha wa Nchi hiyo Marehemu Jesse Owens kwa mchango wake katika riadha na kuipelekea sifa kubwa nchi yake.

Nishani hizo ambazo hutolewa na Rais hujulikana kama Congressional Gold Medal ambazo hupewa kwa watu mbalimbali nchini humo katika kutambua michango yao katika Nchi.

Tuzo ya Jesse ilipokelewa na Familia yake kwakuwa yeye mwenyewe alishafariki Dunia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom