Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,246
Pamoja sana.Merci Papaa Musso, mutu ya akili mingi
Pamoja sana.Merci Papaa Musso, mutu ya akili mingi
Hizi nchi zimelaaniwa.Hii nchi Kumbe walishamwaga damu ya Rais kabla ya ile ya 1994!!!
AmenHapa nasubir amen tu za mama mchungaji! na kama ingekuwa ni kubet, muhindi angelia leo
Tunakupenda sana pia mkuu Nyagei ubarikiwe sana na Mungu aendelee kukupa uponyaji wa kudumu wa mwili na roho AmenSnipes
Mondray
Papupi
Ukhuty
Transcend
Blessed hope
Shunie
Sakayo
Bitoz
Mussolin5
Lee Empire
Emmyta
Queen Kan
Livi Livinus
Tentramelzy
Obe
Werasson
Baily5
Nyagei
NAWAPENDENI SANA
Morning dear ubarikiweMorning family
Njema mkuu umeamkaje?ubarikiweWakuu habar za asubuhi
Morning mkuu asante sana ubarikiweMorning family..!
Leo ni siku nyingine !
Lile ulilopanga jana hakikisha linafanikiwa leo leo..kama kuna ambalo jana hukumaliza hakikisha unalimaliza leo
Morning motivational
changamoto ndio mwanzo wa ufumbuzi ..penda sana kuwa mtu wa changamoto.
Face the reality..! Make it happen![]()
Uwe na siku njema mkuu UbarikiweBaada ya morning motivational..
Niwatakie siku njema..
Love you Sakayoo!
sio kiboko mnyama mukongo nimemaanisha mtu ambae akiamua lake ameamua fatilia mambo anayofanya kwenye nchi yake anavyoua wauza madawaDo you mean Hippopotamus???
namuona chicharito kwa mbali
Miezi 28 bila kulala
Morning sir have a wonderful day,Be BlessedGoodmorning family
Huko ni risasi tu1945 - Rodrigo Durtete anazaliwa.
Ni Rais wa 16 na wa sasa wa Philippines.
Mmoja kati ya viongozi wenye misimamo thabiti dhidi ya madawa ya kulevya.
Amen asante kwa historia mkuu uwe na siku njema ubarikiweLeo katika Historia;
NIWATAKIE SIKU NJEMA.
R.I.P Melychior Ndadaye..died young![]()
![]()
African Polifix![]()
.....