Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakati mwingine unaweza ukapendwa na mwanamke hadi ukajihisi humpendi..

Napata shiida sana kumuonesha huyu mwanamke namjali kutokana na anvyonijali..

Ukipendwa penda mara 10 yake..

Nakupenda saana utamu wangu! Nakupenda mke wa ndoto zangu..!

Nakupenda mama wa watoto wangu..

Ulale salama princess wangu S
Hubby
Naamini umeamka salama mume wangu.

Najua ni kiasi gani wanipenda, Wala haiitaji elimu ya PhD kuligundua hilo.
Ntunzie tu penzi langu ndo la muhimu, Sina moyo wa kuweza kuvumilia maumivu ya usaliti mume wangu.

Nakupenda, Naomba nkakutengee maji ya kuoga tuyawahi majukumu.


Mornie my lovely husband!!!
 
FB_IMG_1490166461883.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom