Makapuku Forum

Makapuku Forum

Katibu mipango wa Makapuku nipo hapa.. Hakuna kujipendekeza kwa mtu tunaamini tuna ubora kuliko wao... Hapa ni muda wa makapuku kusimama na kung'aa... No shobo no Ufagio
Katibu mipango uje huku kuna mtoto katoroka kwa wachafu anataka kuleta proposal ya video za comedy humu ndani
 
Sure!! Sisi kilio chetu kikuu ni hiki, kama tumeamua JF iwe ni social network ya watu wote basi each member should be treated with dignity and equality. Tabia ya mtu akichangia kitu unakimbilia kwenye profile yake kuangalia ana muda gani jf na ana likes ngapi pamoja na followers afu unarudi kumpa maneno ya kejeri ni upuuzi inaobidi ufe.

Ila kama haiwezekani tutaenda hivi hivi kibishibishi....JF sio ya watu flani tu, ni ya watanzania, ni ya wakenya, waganda, warwanda na wowote wale kutoka popote pale. Mambo ya segregation inayotokana na umaarufu wa mtu tunayakataa

Ni kweli kabisa aisee

Mtu ukitoa mchango kumchallenge mkongwe utasikia vimaneno vya kejeri kama "mtu mwenyewe umejiunga feb 2016" au "senior member".....kama mtu kajiunga feb 2016 hana haki ya kuchangia?!😱 au senior member hana haki ya kuchangia😱

japokuwa mimi sio mkongwe ni wa juzi juzi ..dah ili jina hapana aisee ..mimi sio kapuku
Mkuu BITOZ na SIZZYA007 tunaombeni mtafute kajina kengine kazuri mfanye substitution kwa ilo jina kapuku
Tusipojikubali hawa wakongwe watatuona sisi ni small organism

Lakini ngoma ikivuma vuvuvuuuuuu ujue imekaribia kupasuka..hatuna nyota ya punda sisi hapa hapa bongo tutatoka tuu


Makapukuu hoyeeeeeee
 
Je wajua?

Kitu cha televisheni cha MTV (music Television) kilianza rasmi kazi siku ya 1/8/1981
Kwa kurusha video ya kwanza kabisa ya video killed the radio star wimbo wa The Buggles.


Tukutane panapo majaliwa...!
Asantee mkuu
 
Nimevutiwa na hili grupu naomba adimin aniruhusu Nianze kurusha videoz za vichekesho.

Pia nianzishe makala yangu pendwa ya
JE WAJUA??
nazifanya sana wasapu.nimempenda huyu binti SHUNIE
Unachokitafuta utakipataa...mondray punguza virobaaaa
 
Hata mimi nashangaaa watu walio anzisha uzi huu wote hawapo labda Bitoz tu. Tuliomo humu active hatuzidi kumi. BTW
Tutaendelea kulisongesha
Acha hizo kijana watu wapo huru kusepa maana hakuna sheria wala kanuni inayombana mtu kila siku wanaingia wapya ni km safari ya dhaladala anashuka mtu anapanda mtu ndio maana thread haifi

Wafurahie uliokutana nao na sio kuanza kuwatafuta wa zamani aau ambao hawaji kwenye thread ndio kanuni ya maisha kila maisha yanavyosonga unakutana na marafiki wapya. Km tulivyopitia shule za msingi, sekondari na hadi vyuoni

Hata mimi nikjisikia kusepa nasepa
It isn't an issue
.............
 
IMG-20170313-WA0032.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom