Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
TehranUsiwe unajificha sana huku sio Tehran kaka
TehranUsiwe unajificha sana huku sio Tehran kaka
Hiyo mpaka umshirikishe malaika
Duh umaskini bai bai
Ahsante kwa darasa murua.VINASABAni neno la kiswahili likiwa na maana jina la kibaolojia la DNA yaani Deoxyribonucleic acid
Vinasaba(DNA) ndio utambulisho mkubwa kwa viumbe hai.
Vinasaba vina umbo la heli mbili yaani double helix structure...kama inayoonekana hapo chini.
![]()
![]()
Hizo heli mbili zinaitwa polynucleotides na zinajengwa kwa monomers dogo dogo zinazoitwa nucleotides
Kila nucleotides zina nucleobases 4 ambazo ni cytosine -C, guanine -G , Adenine-A or Thymine-T
Hizo base huwa zinapair kwenye zile coil ulizoona hapo juu... A zinapair na T wakati G inapair na C . Lakini vile vile hizo DNA ina atoms za sukari(sugar) na atoms za phosphate..
Vinasaba ndio utambuzi mkubwa wa viumbe hai...
Kwa leo tuishie hapo! Ukiweza kukumbuka na Biology form 4 itakuwa murua...
Je wajua ingine hiyo hapo chini..
![]()
Nitatupa karata kwa NumbisaCheza na vyote ila sio shunie
NdioTehran
Vipi mkongo??
Ahaaaaaah old mondray hajamuona??Nitatupa karata kwa Numbisa
Hey boy lile sawala la video comedy lilikuudhi sana etiii.Ahsante kwa darasa murua.
Hii ya je wajua ndio imeniacha hoi kabisa MUNGU FUNDI
![]()
Naona wengi mnajifanya hamfatilii ligi kuu ya ile timu ya dunia wanavodai wengi lakin mm simo ...kilichotokea siku ile na mtu wao ndo kimewaponza make yawezekana furaha ilipitiliza ...
Jana alichokifanya Depertivo ni kumfundisha mfaransa nidhamu ya ukabaji na mipango ya kushambulia kwa kushtukiza tu.....
Depotivo walikuwa wengiiiiiiiii wakati wanazuia ila pia walikuwa wengiiiiiiiii wakati wanashambulia kitu ambacho kiliwanyima uhuru sana Barcelona.
Wanachokikosa Fc Barcelona sasa ni ile miguu ya kuchukua Kijiji na kuamua matokeo ya Leonel Mesi tu.... Ila ile ya kupiga pasi ipo pale pale....

Mwambie ampotezee numbisa aisee la sivyo humu hapatoshiAhaaaaaah old mondray hajamuona??
Yupo na PaprikaAhaaaaaah old mondray hajamuona??
Hapana sijapanik jombaa it was funny broHey boy lile sawala la video comedy lilikuudhi sana etiii.
It was ajokes dude don't panic
Paprika ashamtemaaa kitamboooooYupo na Paprika
Paprika kampiga ban etiYupo na Paprika
Mwambie ampotezee numbisa aisee la sivyo humu hapatoshi
Ok that is our Motto.Hapana sijapanik jombaa it was funny bro
Pamoja mkuu...Ahsante kwa darasa murua.
Hii ya je wajua ndio imeniacha hoi kabisa MUNGU FUNDI
Teh teh teh mmoja tu Numbisa kwani ww wajua wangapi![]()
![]()
Unamiliki wangapi Ray van Boy