NIYOMBARE
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,718
- 4,229
Salama mkuu?Hata mimi nashangaaa watu walio anzisha uzi huu wote hawapo labda Bitoz tu. Tuliomo humu active hatuzidi kumi. BTW
Tutaendelea kulisongesha
Salama mkuu?Hata mimi nashangaaa watu walio anzisha uzi huu wote hawapo labda Bitoz tu. Tuliomo humu active hatuzidi kumi. BTW
Tutaendelea kulisongesha
usi-quote magazeti ndugu yanguSamatta katika ubora wake
Kikosi cha United ni dhaifu kilichopangwa
ww na mukongo buana kwahyo mm kummiss shemela wangu mna mashaka baby wangu mwenyewe hana was was

Fukunyuku ktk ubora wako nakuonaSalama mkuu?
Karibu mkuuSalama humu wakuu?
Acha muneno,weka .....ata ww binamu yake hauamin nipo nae
Didi yu min Heineken???Alikuwa amejunywa heaken achana nae
Naskia karudiBashite hajulikan yupo wapi

Samahani wewe ni Ke?Aah bana nani kaka hapa
Sawa nashukuru kwa kunijuza kaka TranscendWatafute na kina ;
Jimena
Cute B
The Name
Ibra 87
Emmguy
PRONDO - Huyu yuko sana jukwaa la man u ka kina baily 5,
Watarudii tuu mkuu!
Cc:
Nyagei
Duh mwaka janaSizzya007 atakuwa na id ingine huyu..! Last seen mwaka jana..
Samahani wewe ni Ke?
Pamoja...Sawa nashukuru kwa kunijuza kaka Transcend
Samahani kwa kukupatia shida, hilo limekwishausi-quote magazeti ndugu yangu
Okay nimekupata mkuu Numbisa
Nijuze kuhusu vinasabaPamoja...
Hakuna updates sasa kwanini?MAKAPUKU FORUM![]()
Hii ni thread maalumu kwa ajili ya vijana kukutana na kujadili mambo mbalimbali kuhusu maujanja ya maisha pamoja na changamoto mbalimbali zinazowakabili maishani
...........................................................
![]()
Hii ndo reply ya 100K na kuwa rekodi kwa JF nzima kwa kuufanya kuwa uzi wenye reply nyingi kuliko uzi wowote tangu kuanzishwa kwa JF
...............................................................![]()
karibun
Once a kapuku
Always a kapuku
.........................