Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
Napita tu ndugu zangu
Yuko heart touched ndio manaSawa mkuu ila tusiquote magazeti
Acha woga dogoMaswali mengine bwanaaah.......

Kumbe Stalin alifia madarakani?1953 - Georgy Malenkov anatangazwa kuchukua nafasi ya Joseph Stalin kama Kiongozi mpya wa USSR hiyo ni baada ya kifo cha Stalin.
Leaving CertificateVyeti avipate wapi sasa,division 0 ina cheti kweli ??
Merci PapaaLEO KATIKA HISTORIA:
Sina la ziada niwatakie wiki njema.
Icho ata mdada wangu wa stationary anaweza kukitypeLeaving Certificate
Heavy? How? Ina uhusiano gani na mate?Nimeipenda huyu binti anajiamini maana jamaa looo ni heavy
AmenWapendwa Kapuku Forum Naamini mko salama Mungu anazidi kuwatetea,nawatakia kila la heri wiki hii ,mkumbuke kwamba tumo safarini tunahitaji nguvu Na nguvu hutoka kwa Mungu tumuombe Mungu atupe hekima katika maisha yetu ya kila siku,wale wagonjwa poleni Mungu awaponye,wenye changamoto zozote Mungu aonekane kwenu,Na wale waliotutangulia mbele ya haki wapumzike kwa amani...Mungu awabariki sana .
Ndio maana unapendaga kwenda stationery aloneIcho ata mdada wangu wa stationary anaweza kukitype
Si kufanya mahesabu leeemuushengaaNdio maana unapendaga kwenda stationery alone
Si kufanya mahesabu leeemuushengaa
