Makapuku Forum

Makapuku Forum

1979 - Tim Howard anazaliwa.

Golikipa wa zamani wa Man Utd, Everton na timu ya taifa ya Marekani.
7490fd6ad4c6b01b081e656cdb22becb.jpg
42626b8deba34673e7ee40e58368eff7.jpg
dfe5328836e848ccfa8b8c9c86516a8c.jpg
83a462d58b5579ea3d4ef4a06a54d996.jpg

Sijui kwanini babu SAF hakumwamini
.....
 
1987 - Kevin Prince Boateng anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Portsmouth, Ac Milan na sasa Las Palmas.

Baba yake ni Mghana na mama yake ni Mjerumani, aliamua kuchezea timu ya taifa ya Ghana ambayo ni asili ya baab yake.

Ndugu yake ni Jerome Boateng anayecheza klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani.
d41dff19663077687680880c82f4da02.jpg
a1306c6eb8b31f1dcd37d8138428a02b.jpg
def7b3c95c1a01a24d8cdf64ff17ecc8.jpg

Ni km akina Xhaka
....
 
1972 - Shaquille O'neal anazaliwa.

Ni mchezaji wa zamani wa mpira wa kikapu katika ligi ya NBA.

Alikuwa na uzito wa kilo 149 mmoja kati ya wachezaji wenye uzito mkubwa kuwahi kucheza NBA.

Anatajwa kama mmoja wa Wachezaji bora wa wakati wote kuwahi kucjeza ligi ya NBA.
014abdbea3f48f89cc9cae1d9b3bc70b.jpg
a94a144ac411451b7349576baea9fd66.jpg
a6f31eaee92893ba7058ab93f3257dc5.jpg
5de98894df30322ce354fda06d6475f2.jpg

Huyo pimbi ni demu wake
......
 
Wapendwa Kapuku Forum Naamini mko salama Mungu anazidi kuwatetea,nawatakia kila la heri wiki hii ,mkumbuke kwamba tumo safarini tunahitaji nguvu Na nguvu hutoka kwa Mungu tumuombe Mungu atupe hekima katika maisha yetu ya kila siku,wale wagonjwa poleni Mungu awaponye,wenye changamoto zozote Mungu aonekane kwenu,Na wale waliotutangulia mbele ya haki wapumzike kwa amani...Mungu awabariki sana .
 
Wapendwa Kapuku Forum Naamini mko salama Mungu anazidi kuwatetea,nawatakia kila la heri wiki hii ,mkumbuke kwamba tumo safarini tunahitaji nguvu Na nguvu hutoka kwa Mungu tumuombe Mungu atupe hekima katika maisha yetu ya kila siku,wale wagonjwa poleni Mungu awaponye,wenye changamoto zozote Mungu aonekane kwenu,Na wale waliotutangulia mbele ya haki wapumzike kwa amani...Mungu awabariki sana .
ameen mama mchungaji ubarikiwe nawe pia
 
Wapendwa Kapuku Forum Naamini mko salama Mungu anazidi kuwatetea,nawatakia kila la heri wiki hii ,mkumbuke kwamba tumo safarini tunahitaji nguvu Na nguvu hutoka kwa Mungu tumuombe Mungu atupe hekima katika maisha yetu ya kila siku,wale wagonjwa poleni Mungu awaponye,wenye changamoto zozote Mungu aonekane kwenu,Na wale waliotutangulia mbele ya haki wapumzike kwa amani...Mungu awabariki sana .
Aminia Mkuu!

Uwe na wiki njema pia
 
I see Ila.kifo kinaumiza,hata wale wanaoteswa Na waume mume akifariki wanalia hadi wanazimia wanasema Bora angeendelea kuishi..huwa nashangaaa. Huwa hatuombei mtu afe tu Mungu atatoa hukumu mwenyewe

R.I.P. JOHN F KENNEDY
Sio kweli
Wapo wengi tu uhuzunika kinafiki...siyo kila kifo cha mtu kinahuzunisha mfano kuna misiba mingi huwa hainiumi na hata kuzika nazika huku moyoni nikiwa na furaha....
.Hivyo hata kifo chako au changu hakiwezi kuhuzunisha wala kuumiza watu wote ndiyo maana kuna usemi wa Kufa kufaana
.....
 
Wapendwa Kapuku Forum Naamini mko salama Mungu anazidi kuwatetea,nawatakia kila la heri wiki hii ,mkumbuke kwamba tumo safarini tunahitaji nguvu Na nguvu hutoka kwa Mungu tumuombe Mungu atupe hekima katika maisha yetu ya kila siku,wale wagonjwa poleni Mungu awaponye,wenye changamoto zozote Mungu aonekane kwenu,Na wale waliotutangulia mbele ya haki wapumzike kwa amani...Mungu awabariki sana .
Na wote tuseme AMEN
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom