BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Hata ukiwa Na upunguvu wa vit A?
Hata ukiwa Na upunguvu wa vit A?
1979 - Tim Howard anazaliwa.
Golikipa wa zamani wa Man Utd, Everton na timu ya taifa ya Marekani.
Asante kwa magazeti Lee Empire ubarikiwe uwe Na siku njema na kazi njemaTuwe na Siku njema
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Bado mauaji ya Sizonje maana ana kauli chafu dhidi za waliomchagua
....

1987 - Kevin Prince Boateng anazaliwa.
Mchezaji wa zamani wa Portsmouth, Ac Milan na sasa Las Palmas.
Baba yake ni Mghana na mama yake ni Mjerumani, aliamua kuchezea timu ya taifa ya Ghana ambayo ni asili ya baab yake.
Ndugu yake ni Jerome Boateng anayecheza klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani.
Hahahahaaaa njia panda!Tafakari ya kirat...![]()
2016 - Nancy Reagan anafariki Dunia.
Alikuwa ni mke wa Rais wa zamani wa Marekani, Ronald Reagan.
1972 - Shaquille O'neal anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa mpira wa kikapu katika ligi ya NBA.
Alikuwa na uzito wa kilo 149 mmoja kati ya wachezaji wenye uzito mkubwa kuwahi kucheza NBA.
Anatajwa kama mmoja wa Wachezaji bora wa wakati wote kuwahi kucjeza ligi ya NBA.
Oooh my God!Sio mbaya tukilipitia gazeti moja kwa Leo..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
I see Ila.kifo kinaumiza,hata wale wanaoteswa Na waume mume akifariki wanalia hadi wanazimia wanasema Bora angeendelea kuishi..huwa nashangaaa. Huwa hatuombei mtu afe tu Mungu atatoa hukumu mwenyewe![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Bado mauaji ya Sizonje maana ana kauli chafu dhidi za waliomchagua
....
R.I.P Nancy Reagan![]()
![]()
![]()
![]()
Aliishi miaka 94
Alipendelea kuvaa nguo za rangi nyekundu
......
Nimeipenda huyu binti anajiamini maana jamaa looo ni heavy![]()
![]()
![]()
![]()
Huyo pimbi ni demu wake
......
ameen mama mchungaji ubarikiwe nawe piaWapendwa Kapuku Forum Naamini mko salama Mungu anazidi kuwatetea,nawatakia kila la heri wiki hii ,mkumbuke kwamba tumo safarini tunahitaji nguvu Na nguvu hutoka kwa Mungu tumuombe Mungu atupe hekima katika maisha yetu ya kila siku,wale wagonjwa poleni Mungu awaponye,wenye changamoto zozote Mungu aonekane kwenu,Na wale waliotutangulia mbele ya haki wapumzike kwa amani...Mungu awabariki sana .
Aminia Mkuu!Wapendwa Kapuku Forum Naamini mko salama Mungu anazidi kuwatetea,nawatakia kila la heri wiki hii ,mkumbuke kwamba tumo safarini tunahitaji nguvu Na nguvu hutoka kwa Mungu tumuombe Mungu atupe hekima katika maisha yetu ya kila siku,wale wagonjwa poleni Mungu awaponye,wenye changamoto zozote Mungu aonekane kwenu,Na wale waliotutangulia mbele ya haki wapumzike kwa amani...Mungu awabariki sana .
Sio kweliI see Ila.kifo kinaumiza,hata wale wanaoteswa Na waume mume akifariki wanalia hadi wanazimia wanasema Bora angeendelea kuishi..huwa nashangaaa. Huwa hatuombei mtu afe tu Mungu atatoa hukumu mwenyewe
R.I.P. JOHN F KENNEDY
Na wote tuseme AMENWapendwa Kapuku Forum Naamini mko salama Mungu anazidi kuwatetea,nawatakia kila la heri wiki hii ,mkumbuke kwamba tumo safarini tunahitaji nguvu Na nguvu hutoka kwa Mungu tumuombe Mungu atupe hekima katika maisha yetu ya kila siku,wale wagonjwa poleni Mungu awaponye,wenye changamoto zozote Mungu aonekane kwenu,Na wale waliotutangulia mbele ya haki wapumzike kwa amani...Mungu awabariki sana .