Pamojaa sana mkuuAsante kwa magazeti hasa kutuwekea habari ya Gazeti pendwa la Mwanahalisi.
UnavomsakamaBashite ana haki ya kulia pole yake kimbele mbele ndio kimemponza
drama zake zinachosha mara aende misikitini mara makanisani na kulia lia hivyo avisaidii yy akitaka watu wanyamaze awawekee vyeti tu basiUnavomsakama
Vyeti avipate wapi sasa,division 0 ina cheti kweli ??drama zake zinachosha mara aende misikitini mara makanisani na kulia lia hivyo avisaidii yy akitaka watu wanyamaze awawekee vyeti tu basi
Leo katika Historia:
1902 - Klabu ya Real Madrid yaanzishwa huko katika jiji la Madrid nchini Uhispania.
Ni klabu iliyoanzishwa na Matajiri wa jiji hilo na wapinzani wao wakuu ni Atletico Madrid timu ambayo inasapotiwa na Walalahoi ndani ya Jiji hilo.
1953 - Georgy Malenkov anatangazwa kuchukua nafasi ya Joseph Stalin kama Kiongozi mpya wa USSR hiyo ni baada ya kifo cha Stalin.
1957 - Ghana yawa nchi ya kwanza kusini mwa Jangwa la Sahara kupata Uhuru wake.
1975 - Kwa mara ya kwanza video inayoonyesha mauaji ya Rasi John F. Kennedy yaonyeshwa kwenye runinga ya Taifa nchini humo.
Video hiyo maarufu imepewa jina la " Zapruder Film " ilirekodiwa na jamaa mmoja aliyeitwa Zapruder ambaye alikuwa akijrekodia msafara wa Rais kwa matumizi yake kabla ya kujikuta akirekodi tukio muhimu kabisa bila kutegemea.