Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,930
JE WAJUA??
Ukila maini ya Dubu mweupe (polar bear) utakufa, maana mwili hauwezi kuvumilia Vitamin A iliyomo

JE WAJUA??
Ukila maini ya Dubu mweupe (polar bear) utakufa, maana mwili hauwezi kuvumilia Vitamin A iliyomo

halaf baby siku naomba unipikie aiseeJE WAJUA ?
chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.
kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha
chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu utawasikia kwa jirani
kutoa harufu kwenye wali uliongua weka kipande cha mkaa harufu ya kuungua itakata
km umepika mchuzi upo maji maji yaani mwepesi labda maji yamezidi chukua kiazi kikune na cha kukunia nyanya weka chuzi litakuwa rost
kuivisha maharage faster chukua maji yalochemka tia maharage weka kwenye chupa ya chai funga kesho mimina kwenye sufuria pika nusu saa harage litakuwa lishaiva
ukipika mchuzi vitunguu vikiungua weka sukari kidogo harufu ya kuungua haitasikika
Ukiamaliza kuosha vyombo still wire iweke kweny maji haiharibiki utaendelea kutumia kesho
big g ikiganda kwenye nguo weka kweny friza ikiganda itatoka kirahisi
kuondoa harufu ya uvundo kwenye fridge weka baking soda kwenye kikombe na maji kidogo weka kwenye fridge
mimi apa mukongoMh!!! nani alikuwa anabusiwa?
Mkuu fanya kazi au iba tu uamuzi ni wako utakua hata elfu kumilionea

Unabusiwa na nani?mimi apa mukongo
Maswali mengine bwanaaah.......Unabusiwa na nani?
Mbona yanachapishwa bongo mkuuHaya magazeti ya kuiingereza ni kwamba huwa yanatoka nchi jirani.?
Bongo ya Dar ya Makonda au mpakani?Mbona yanachapishwa bongo mkuu
Bongo ya Dar ya Makonda au mpakani?
Kama ndiyo basi jana kuna magazeti yalienda kusali na mengine hayakwenda kusali.

Yani nimegundua magazeti ya kizungu yanatabia za kizungu tu, maana wengi wao kusali ni Christmas tu.
Kweli mkuu tena nahsi yanasali mwaka mpya tu ....Yani nimegundua magazeti ya kizungu yanatabia za kizungu tu, maana wengi wao kusali ni Christmas tu.