Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
JE WAJUA??
Mtu mwenye tabia ya kukosoa Grammar kwenye mazungumzo ya wenzake ana tatizo la OCD.
Cc. Faizafox
JE WAJUA??
Mtu mwenye tabia ya kukosoa Grammar kwenye mazungumzo ya wenzake ana tatizo la OCD.
Cc. Faizafox
Hahaha, bashitaJE WAJUA??
Makonda aliwahi kuwa Kondakta
Seriously ww unajua kwann alijiita hivyo lee empire njoo mkuuHahaha, bashita
Hizi utaziona kwenye muvie ya Avengers: Age of ultron hulk alichezea kichapo balaa
Well said.Sio kweli
Wapo wengi tu uhuzunika kinafiki...siyo kila kifo cha mtu kinahuzunisha mfano kuna misiba mingi huwa hainiumi na hata kuzika nazika huku moyoni nikiwa na furaha....
.Hivyo hata kifo chako au changu hakiwezi kuhuzunisha wala kuumiza watu wote ndiyo maana kuna usemi wa Kufa kufaana
.....
DuhJE WAJUA??
Mchwa wanaathiriwa na Vibration ya muziki, jinsi unavyo ongeza sauti ya muziki ndio na wao wanaongeza kasi ya kutafuna vitu vyako mara mbili zaidi
Dudu mchwa
Weka pichaJE WAJUA??
Makonda aliwahi kuwa Kondakta
Sio picha tu hadi source utapata, hiyo kazi ni ya leeWeka picha
Nimejaribu na nimefika 45 bila kusinzia...JE WAJUA??
Kama umekosa usingizi anza kuhesabu 99 kurudi nyuma hautafika 50 utakua umeshaanza kusinzia
Hahahaaa! Lee empire nahisi kwako mchwa wanatafuna magazeti weweJE WAJUA??
Mchwa wanaathiriwa na Vibration ya muziki, jinsi unavyo ongeza sauti ya muziki ndio na wao wanaongeza kasi ya kutafuna vitu vyako mara mbili zaidi
Hadi osama?JE WAJUA??
Adolf Hitler na Osama bin Laden wato wali chaguliwa kwenye tuzo za Amani (NOBLE PRIZE)
Akija, nitagSeriously ww unajua kwann alijiita hivyo lee empire njoo mkuu
Yeah bado makonda na SizonjeHadi osama?
Itakua ana dharura ila hadi kesho saa 1 source atakua kaletaAkija, nitag
Asisahau na bullet proofItakua ana dharura ila hadi kesho saa 1 source atakua kaleta
Bado tunafanya kazi..ucku mwema makapuku wenzangu