BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Bora vita ya nini wanaumia wanyonge tuJE WAJUA??
Vita fupi zaidi ni vita kati ya Zanzibar na England, ilichukua dakika 38 pekee Zanzibar waka surrender
Bora vita ya nini wanaumia wanyonge tuJE WAJUA??
Vita fupi zaidi ni vita kati ya Zanzibar na England, ilichukua dakika 38 pekee Zanzibar waka surrender
Tunaijaza duniaJE WAJUA??
Kila baada ya sekunde 5 mtoto anazaliwa
MATHEMATICIAN Expert levelDuh
60÷5
12x60
720x24
Dah kwa siku tu zaidi ya maisha mapya 17000 ni wengi sana na bado dunia haijai
Mbona ID yako inaonyesha upo toka 2012 5yrs a goMkuu samahani nimepigwa ban nimekuja kwa acount mpya so sio mgeni .....
AiseeJE WAJUA ?
chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.
kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha
chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu utawasikia kwa jirani
kutoa harufu kwenye wali uliongua weka kipande cha mkaa harufu ya kuungua itakata
km umepika mchuzi upo maji maji yaani mwepesi labda maji yamezidi chukua kiazi kikune na cha kukunia nyanya weka chuzi litakuwa rost
kuivisha maharage faster chukua maji yalochemka tia maharage weka kwenye chupa ya chai funga kesho mimina kwenye sufuria pika nusu saa harage litakuwa lishaiva
ukipika mchuzi vitunguu vikiungua weka sukari kidogo harufu ya kuungua haitasikika
Ukiamaliza kuosha vyombo still wire iweke kweny maji haiharibiki utaendelea kutumia kesho
big g ikiganda kwenye nguo weka kweny friza ikiganda itatoka kirahisi
kuondoa harufu ya uvundo kwenye fridge weka baking soda kwenye kikombe na maji kidogo weka kwenye fridge
I got 2Mbona ID yako inaonyesha upo toka 2012 5yrs a go
Mbona unampigia debe sana Quigley au kakulipaKatulia na Quigley
Id yako nyingine ni ipi kama sio mgeniI got 2
Ukwelii unachoma....kashanyakua jimboMbona unampigia debe sana Quigley au kakulipa
Sio mgeni ngoja nije inboxId yako nyingine ni ipi kama sio mgeni
Umeadimika mkuuhabari zenu makapuku, mko poa?
nipo, si unajua tena kuisoma namba.Umeadimika mkuu
Duh!!! UmeuaJE WAJUA??
Sentesi The quick brown fox jumps over the lazy dog imechukua kila herufi kwenye Alphabet

Kweli zinasomekanipo, si unajua tena kuisoma namba.
Mh!!! nani alikuwa anabusiwa?JE WAJUA??
Busu lililo chukua muda mrefu zaidi lichukua 58hrs, dakika 35 sekunde 53