Makapuku Forum

Makapuku Forum

JE WAJUA??
Kichwa cha farasi kilichotumiwa katika muvi ya The Godfather nilikua cha ukweli
980429b62c784501ebb85cd354758f33.jpg
 
JE WAJUA ?

chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.

kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha

chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu utawasikia kwa jirani

kutoa harufu kwenye wali uliongua weka kipande cha mkaa harufu ya kuungua itakata

km umepika mchuzi upo maji maji yaani mwepesi labda maji yamezidi chukua kiazi kikune na cha kukunia nyanya weka chuzi litakuwa rost

kuivisha maharage faster chukua maji yalochemka tia maharage weka kwenye chupa ya chai funga kesho mimina kwenye sufuria pika nusu saa harage litakuwa lishaiva

ukipika mchuzi vitunguu vikiungua weka sukari kidogo harufu ya kuungua haitasikika

Ukiamaliza kuosha vyombo still wire iweke kweny maji haiharibiki utaendelea kutumia kesho

big g ikiganda kwenye nguo weka kweny friza ikiganda itatoka kirahisi

kuondoa harufu ya uvundo kwenye fridge weka baking soda kwenye kikombe na maji kidogo weka kwenye fridge
Safi sana kwakweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom