Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,555
Lile lingine umesahauMmh busu gan hilo
Lile lingine umesahauMmh busu gan hilo
Lile lingine umesahau
JE WAJUA??
Kichwa cha farasi kilichotumiwa katika muvi ya The Godfather nilikua cha ukweli
Hujakosea mkuu , hatunaga makuu ,Njoo upate habari na info mbali mbali hapa.. Jokes is a part of our life
JE WAJUA??
Mjukuu mkubwa wa Adolf hitler alisaini mkataba wa kutoa au kuzaa ili kuondoa kizazi cha A H duniani .
JE WAJUA??
Busu lililo chukua muda mrefu zaidi lichukua 58hrs, dakika 35 sekunde 53
Natamani nilishuhudieJE WAJUA??
Busu lililo chukua muda mrefu zaidi lichukua 58hrs, dakika 35 sekunde 53
Hata ww unaweza fanya na shem
Map- RamaniWhat is map?
Mkuu nahisi utapata directions kwenye map ila sio picha
By definition ...
Lee acha uchokonozi bwana duuhBy definition ...
Umepiga hodi ww Mbona umepitiliza hadi chumbaniJe wajua nywere nyeupe huonyesha mtu ana hekima na busara ?
Safi sana kwakweliJE WAJUA ?
chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.
kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha
chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu utawasikia kwa jirani
kutoa harufu kwenye wali uliongua weka kipande cha mkaa harufu ya kuungua itakata
km umepika mchuzi upo maji maji yaani mwepesi labda maji yamezidi chukua kiazi kikune na cha kukunia nyanya weka chuzi litakuwa rost
kuivisha maharage faster chukua maji yalochemka tia maharage weka kwenye chupa ya chai funga kesho mimina kwenye sufuria pika nusu saa harage litakuwa lishaiva
ukipika mchuzi vitunguu vikiungua weka sukari kidogo harufu ya kuungua haitasikika
Ukiamaliza kuosha vyombo still wire iweke kweny maji haiharibiki utaendelea kutumia kesho
big g ikiganda kwenye nguo weka kweny friza ikiganda itatoka kirahisi
kuondoa harufu ya uvundo kwenye fridge weka baking soda kwenye kikombe na maji kidogo weka kwenye fridge
Mkuu samahani nimepigwa ban nimekuja kwa acount mpya so sio mgeni .....Umepiga hodi ww Mbona umepitiliza hadi chumbani
Mkuu fanya kazi au iba tu uamuzi ni wako utakua hata elfu kumilioneaNaombeni msaada jinsi ya kuachana na ukapuku na kuwa lakionea tu