Makapuku Forum

Makapuku Forum

e7e993aee80575a522a64259396e4278.jpg
d54eb7ed43f8288c88867f2beb5a8e9e.jpg
0647e1f39ddefe3adec1adee01283163.jpg
Kifaa hícho
 
Hivi unaamini lengo lao ni kumuhoji tu?
Naheshimu maoni yako ila hujaelewa .....hakuna anayefurahi wageni kuajiriwa tunawaona wamejazana kule Kariakoo tunaongea kisheria Manji hahusiki ile ni Group Of Companies na km unajua Sheria za Uhamiaji zinasemaje kuhusu "mwajiri" kuajiri wageni na afhabu yake ni nini hapo sitakupinga

Nchi inaongozwa na Sheria km vipi basi wakavunje majengo tote ya mahakama maana Sheria zinaonekana hazina maana
.........
Madenge bwana. Inawezekana kweli sijaelewa. Nadhani pia hujaelewa mantiki ya comment yangu. Tukiacha ushabiki wa hizi siasa uchwara na ushabiki usio na tija ndiyo tutaweza kufanya jambo la maana.

Hata hao wanaomuita nadhani wanajua kuwa Manji alishajiengua na hayo makampuni. Ni mbinu ya kawaida kisheria kwa corrupt businessmen; na kujiengua huko kunaweza kuwa kwenye makaratasi tu na nyuma ya pazia bado wakawa wanashikilia madaraka bado. Kwa nini tunaona shida yeye kuitwa na kwenda kusikiliza wanachomuitia? Inakuwa kama vile tayari ameshahukumiwa. Vipi kama wanataka habari tu ambazo wanaamini anazo? Kwa nini sisi "wenye ufahamu" na "wasomi" tunatumia nguvu nyingi kiasi hiki kumtetea? Kwa vile ni bilionea anayeweza kwenda polisi na mawakili wanane wakiwemo wazungu? Ni kwa vile ni kiongozi wa kilabu ya soka? Ni kwa vile ana asili ya nje? Yeye kuitwa polisi na mamlaka hizi ndiyo sheria zimevunjwa? Au kuna vitu vingine ambavyo mnavijua ambavyo wengine hatuvijui? Ningeitwa kapuku kama mimi ni kweli ungekuwa hapa ukipiga makelele namna hii na kulaumu mfumo mzima? Come on man!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom