Makapuku Forum

Makapuku Forum

Haihitaji ht uwe na Masters ya Law
Tumia common sense tu kampuni huwa na
* mmiliki
*mkurugenzi mtendaji
*afisa ajira/mkurugenzi utumisha
N.k

Wao wamekomaa kumtajataja Manji tu {jina linahusika vipi?)
Polifix
........
Wabongo nasi tumezidi. Hata huwezi kuelewa tuachotaka hasa ni nini. Tunalia ajira hakuna kumbe makampuni mengine wameajiri illegals. Watu wenye ties na hayo makampuni wakiitwa kuhojiwa napo makelele. Hakukosea aliyesema kuwa siye tu namba wani kwa unafiki duniani!
 
1989 - James Bond anafariki Dunia.

Alikuwa ni mtaalam wa viumbe hai hasa ndege. Alikuwa ni raia wa Marekani.

Jina lake lilichukuliwa na kuanza kutumika katika mfululizo wa Filamu za Kijasusi zijulikanazo kama James Bond.

Mtunzi wa filamu za James Bond, ndugu Ian Fleming alipenda sana kufatilia kazi za James Bond hasa kwa kutazama Vipindi vyake na kusoma vitabu vyake hasa vinavyohusu Ndege, hali hiyo ilipelekea akalipenda sana Jina la James Bond na kuliomba alitumie katika Filamu zake alizozitunga akianza na ile Casino Royale ya mwaka 1953.

Hivyo mwenye jina la James Bond alikuwa ni mtaalam wa ndege ambapo jina lake likaenda kutumika katika filamu za kijasusi.
96a5c64a15af8292859ae2b21498c110.jpg
7fbe2ff7618362681f0378400cf3311b.jpg
 
Wabongo nasi tumezidi. Hata huwezi kuelewa tuachotaka hasa ni nini. Tunalia ajira hakuna kumbe makampuni mengine wameajiri illegals. Watu wenye ties na hayo makampuni wakiitwa kuhojiwa napo makelele. Hakukosea aliyesema kuwa siye tu namba wani kwa unafiki!
Hivi unaamini lengo lao ni kumuhoji tu?
Naheshimu maoni yako ila hujaelewa .....hakuna anayefurahi wageni kuajiriwa tunawaona wamejazana kule Kariakoo tunaongea kisheria Manji hahusiki ile ni Group Of Companies na km unajua Sheria za Uhamiaji zinasemaje kuhusu "mwajiri" kuajiri wageni na afhabu yake ni nini hapo sitakupinga

Nchi inaongozwa na Sheria km vipi basi wakavunje majengo tote ya mahakama maana Sheria zinaonekana hazina maana
.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom