Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,257
1995 - U Nu anafariki Dunia.
Alikuwa ni Waziri Mkuu wa kwanza wa Burma.
Alikuwa ni Waziri Mkuu wa kwanza wa Burma.
Tipo tinakula lahaMpo nyie watu ama ndo mwapendana leo
1985 - Philipe Senderos anazaliwa.
Mchezaji wa Timu yaTaifa ya Uswizi ambaye aliwahi kukipiga katika klabu ya Arsenal.
Wuhuuu! Linalotakiwa kuwa basi na liwe. Leo, kesho na hata milele!

Unakula mwenyewe?Swalaamaaaa
Mapenze mubashara!!!We subiri Lee aje anifume nimekubeba namna hii naValentinika nawe. Sijui itakuwaje but I am ready!
![]()

Hatafanya lolote

1987 - Edinson Cavani anazaliwa.
Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Uruguay ambaye anakipiga katika klabu ya PSG.
Mmoja kati ya Washambuliaji bora wa kizazi hiki, japo ameshindwa kuwa na uelewano mzuri na Luis Suarez katika Timu ya Taifa.
We subiri aje. Yaani sipati picha. Just wait....Hatafanya lolote
Ahsante kwa taarifa, mambo kama haya yamenipitia kushoto.....all in all wafanyabiashara ni wajanja sana.....amewaachia selekale manyoyaHabari wakuu
Na lao vituko vinaendelea
*Mmiliki wa kampuni kamwe siyo mwajiri
Mfano Wamilimi/shareholder wa kampuni ya Vodacom hawahusiki na masuala ya ajira
Pia mbele ya Sheria kosa linalofanywa kwenye utendaji wa kikampuni ni kampuni ndo inashtakiwa na huwakilishwa na wanasheria wa kampuni
*Pia yule kanjibai alishajiuzulu umiliki wa ile kampuni toka mwaka jana na notice ziliwekwa kwenye magazeti
NB
Kisheria Manji hahusiki na lolote ni sasa na kuchafuana tu na hata wakimkamata watashindwa kesi na watalipa fidia
Hiki kihunzi keshakiruka labda watafute kingine
Labda km ubabe na sasa vitafanya kazi hadi mahakamani
Nimeona wabongo wanachangia mambo kimihemko tu wakati uelewa wao wa masuala ya kisheria ni finyu kila kitu sana kiherehere
...............
Ina twelve years2005 - Mtandao wa Youtube waanzishwa rasmi huko California Marekani.
Mtandao huo ulibuniwa na Wanafunzi watatu wa chuo.
Ni moja kati ya mitandao mikubwa Duniani inayoongoza kwa kutembelewa na watumiaji wengi.

1988 - Angel Di Maria anazaliwa.
Winga teleza wa Argentina na klabu ya PSG.
Uhamisho wake kutoka Real Madrid kwenda Man Utd haukuzaa matunda baada ya kushindwa kung'aa hali iliyopeleka kuuzwa kwenda PSG baada ya msimu mmoja tu.