Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
Mabwanyenye walimpoteza!!!1913 - Jimmy Hoffa anazaliwa.
Alikuwa ni Kiongozi wa zamani wa vyama vya Wafanyakazi huko Marekani.
Baada ya kuongoza Mgomo wa kudai Maslai ya Wafanyakazi huko Marekani, alipotea katika mazingira ya kutatanisha mwaka 1975.
Baada ya msako wa miaka kadhaa wa kumtafuta bila mafanikio akatangazwa amefariki Dunia mwaka 1983.
Mpaka leo haijulikani Hoffa alipotelea wapi, je ni nani alihusika na kifo chake pia imebaki kitendawili.
kumbe!!!




