Makapuku Forum

Makapuku Forum

We subiri Lee aje anifume nimekubeba namna hii naValentinika nawe. Sijui itakuwaje but I am ready !
3fff76b821e084b3c6affdd365dad28f.jpg
 
Habari wakuu
Na lao vituko vinaendelea

*Mmiliki wa kampuni kamwe siyo mwajiri
Mfano Wamilimi/shareholder wa kampuni ya Vodacom hawahusiki na masuala ya ajira
Pia mbele ya Sheria kosa linalofanywa kwenye utendaji wa kikampuni ni kampuni ndo inashtakiwa na huwakilishwa na wanasheria wa kampuni

*Pia yule kanjibai alishajiuzulu umiliki wa ile kampuni toka mwaka jana na notice ziliwekwa kwenye magazeti
NB
Kisheria Manji hahusiki na lolote ni sasa na kuchafuana tu na hata wakimkamata watashindwa kesi na watalipa fidia
Hiki kihunzi keshakiruka labda watafute kingine
Labda km ubabe na sasa vitafanya kazi hadi mahakamani

Nimeona wabongo wanachangia mambo kimihemko tu wakati uelewa wao wa masuala ya kisheria ni finyu kila kitu sana kiherehere
...............
 
1945 - Rais wa Marekani Franklin Roosevelt anakutana na Mfalme Ibn Saudi wa Saudi Arabia katika meli ya Marekani ijulikanayo kama USS Quincy na kufanya mazungumzo.

Mazungumzo hayo yanafufua Uhusiano wa Kidiplomasia baina ya Nchi hizo mbili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom