Makapuku Forum

Makapuku Forum

ebe6a4b2d8a555f418ef84639bea4d4a.jpg
09d6023f0651ffc861ba58d28938243a.jpg
58dd40faa5e53e3ab5081244760451b0.jpg

Nimeamua kuwawish mapema
Kesho ni Siku ya Wapendanao japo siku hizi imepotoshwa

Tukutane kesho waungwana
...............
na kwako pia bitoz
 
Madenge. Mambo mengine ni kuyapotezea tu. Huyu dogo naye atakuja na kwenda. Walikuwepo akina Lyatonga Mrema na hii impromptu justice wakivuma sana mpaka kuundiwa cheo kisichokuwepo cha naibu Waziri Mkuu. Walifika wapi? Kuna kitu kinachotaka kufanywa na kikikamilika basi utaona mambo yanapoa menyewe. Matamko mangapi alishatoa lakini hakuna hata moja lililofanikiwa?

Suala hili la sasa ni tete sana na dunia nzima linawakunisha vichwa na kamwe halitamalizwa kwa kiki za kisiasa, ajenda za siri na michezo angamizi isiyofuata utaratibu wala mihimili ya kisheria . Mimi namuunga mkono sana na kijamii naona amefanikiwa kuwasha moto japo ni wa mabua. Ngoja pepo zivume sasa na dhoruba za wahusika zimshukie ndo utaona. Jipe muda na kamwe kabisa kabisa usimwamini mwanasiasa hata kama ni dingi wako!
Kweli kabisa
 
Ndo tabu ya kuongozwa na MASKINI
*Mikopo kwa waliosoma private kabana
*Ajira kabana
*Matumizi kabana
Anaonyesha chuki za waziwazi kwa matajiri na watu wa kipato cha kati kwavile yeye kapitia maisha ya kuchunga ng'ombe
...
Nakuelewa sana unachomaanisha!!!
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Hahhahah halaf una utani mbaya hivi kwa nn wasukuma mpo hivi
Malkia wa Sheba. Pole kama umekwazika. Usiwalaumu Wasukuma wote kwa mapungufu yangu. Napenda sana utani na kucheka. Samahani kama nimevuka mpaka. Happy Valentine Day !!!

Mkuu Lee Empire. Asante sana kwa welewa wako. I will stop now na huu utani; and thanks for the laughs. Love you guys
 
Malkia wa Sheba. Pole kama umekwazika. Usiwalaumu Wasukuma wote kwa mapungufu yangu. Napenda sana utani na kucheka. Samahani kama nimevuka mpaka. Happy Valentine Day !!!

Mkuu Lee Empire. Asante sana kwa welewa wako. I will stop now na huu utani; and thanks for the laughs. Love you guys
acha kupanic bwana wote waelewa hapa
 
Malkia wa Sheba. Pole kama umekwazika. Usiwalaumu Wasukuma wote kwa mapungufu yangu. Napenda sana utani na kucheka. Samahani kama nimevuka mpaka. Happy Valentine Day !!!

Mkuu Lee Empire. Asante sana kwa welewa wako. I will stop now na huu utani; and thanks for the laughs. Love you guys
Noooo plz mbona kama mkuu hujazoea utani wetu humu ,usiwaze vibaya jokes kama kawaida


Au nikuachie kwa mda


Hupati kitu hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom