Makapuku Forum

Makapuku Forum

Madenge. Mambo mengine ni kuyapotezea tu. Huyu dogo naye atakuja na kwenda. Walikuwepo akina Lyatonga Mrema na hii impromptu justice wakivuma sana mpaka kuundiwa cheo kisichokuwepo cha naibu Waziri Mkuu. Walifika wapi? Kuna kitu kinachotaka kufanywa na kikikamilika basi utaona mambo yanapoa menyewe. Matamko mangapi alishatoa lakini hakuna hata moja lililofanikiwa?

Suala hili la sasa ni tete sana na dunia nzima linawakunisha vichwa na kamwe halitamalizwa kwa kiki za kisiasa, ajenda za siri na michezo angamizi isiyofuata utaratibu wala mihimili ya kisheria . Mimi namuunga mkono sana na kijamii naona amefanikiwa kuwasha moto japo ni wa mabua. Ngoja pepo zivume sasa na dhoruba za wahusika zimshukie ndo utaona. Jipe muda na kamwe kabisa kabisa usimwamini mwanasiasa hata kama ni dingi wako!
Hata huko CCM hatadumu
Sasa noma keshakuwa na maadui wengi....km waliweza kumchezea faulo mamvi watakashindwa haka kajamaa?

Umeongea point bro
..................
 
Jamani nimekerwa sana na hizi nyodo na mikwara ya kondakta
Duh kajamaa kameanza dharau eti ooh nina mamlaka ya kumfukuza mtu Dar....yaani jamaa kavimba kichwa angeonesha badi kifungu cha Sheria kinachompa hayo mamlaka

Mara ooh kukutwa umetumia dawa za kulevya ni jela miaka mi3 ....hapa pia hajataja kifungu (najua Sheria inatoa adhabu ya Fine au kifungo au vyote kwa pamoja) lakini hakuna mambo ya kupimana maana watu huweza hata kuwekeana kwa makusudi

Haka kajamaa huwa kanaropoka tu utafikiri nchi nzima ni mambumbumbu
A dunderhead
...........

Mkuu bitoz unatafuta kuhama nini tena kasema unaweza kutoka na ndala tu.
 
Haaaaahaaaaa ndio tunaelekea huko, mtu anaposema na gari iwekwe rock up unategemea nini
Ndo tabu ya kuongozwa na MASKINI
*Mikopo kwa waliosoma private kabana
*Ajira kabana
*Matumizi kabana
Anaonyesha chuki za waziwazi kwa matajiri na watu wa kipato cha kati kwavile yeye kapitia maisha ya kuchunga ng'ombe
...
 
eb8d0c22eb8c6388eea4f168fd5c0b11.jpg

Simba mpo?
........
 
Hata huko CCM hatadumu
Sasa noma keshakuwa na maadui wengi....km waliweza kumchezea faulo mamvi watakashindwa haka kajamaa?

Umeongea point bro
..................

Seriously, approach aliyotumia kwanza si sahihi na ina gharama kubwa. Hii inaweza fanywa na kiongozi wa kiimla tu na bahati mbaya sana hatunaye hapa hata kama atajitangaza kuweza kufanya analotamani kufanya.

Kajamaa ukikaangalia kanajilinganisha na kufanya mambo ya kiMedici zama za Florence ambapo wanajifanya kuwa karibu na umma huku wakinufaisha wao zaidi. Matamko yake na namna anavyoweza kuwashurutisha bila shuruti watu wenye taaluma ( likiwemo kundi la maaskari na wanausalama) kutimiza ndoto zao za kifisi.

Yana Mwisho, aliandika Shafi lakini mwisho hauwezi kama umma haujatambua kuwa una nguvu (social contract) dhidi ya maamuzi bila mashauriano.

Nway, makapuku ni sehemu bora kabisa ya kufurahia jukwaa
 
Hata huko CCM hatadumu
Sasa noma keshakuwa na maadui wengi....km waliweza kumchezea faulo mamvi watakashindwa haka kajamaa?

Umeongea point bro
..................
Tatizo ni kwamba hatujui lengo lake ni nini. Pengine hata wakimtoa lengo lake litakuwa limeshatimia. Kumbuka tayari ni tajiri wa kutupwa (kama yaliyosemwa bungeni ni kweli!). Siasa ni kama mchezo wa chess. I hope anajua anachofanya!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom