Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Tunapelekwa ChattoHii nchi sijui tunapelekwaje kila mtu mikwara
Kesho utasikia nina mamlaka ya kumuamuru mwanaDSM yoyote yule nikijisikia aje nyumbani kwangu apige deki

...........
Tunapelekwa ChattoHii nchi sijui tunapelekwaje kila mtu mikwara

Nusu ya mwaka huwa anakula bata uswisi na ufaransa1933 - Paul Biya anazaliwa.
Ni Rais wa pili wa Cameroon ambaye ndiye aliyepo Madarakani sasa.
Ameshika Madaraka ya Urais kuanzia mwaka 1982 mpaka sasa amabapo ni sawa na miaka 35 akiwa madarakani.
Ni moja kati ya Marais wa Afrika waliokaa sana Madarakani na anayetawala Kidikteta kwa Mkono wa Chuma kando ya Museveni na Robert Mugabe.
Hii nchi ishakuwa ya kifala maisha magumu halafu wanatuongezea stressTundu Lissu kashamjibu kwamba hana mamlaka ya kuhamisha watu ila hofu yangu ni kuwa nchi hii siku hizi haiendeshwi kwa misingi ya kisheria bali kwa maamuzi na matakwa ya mtu binafsi.
Namkubali sana collina, hasa word cup ya 1998 Ufaransa1960 - Pierluigi Collina anazaliwa.
Refarii wa zamani kutoka nchini Italia aliyekuwa pia mwamuzi wa kimataifa aliyetambulika na FIFA.
Alijipatia Umaarufu kutokana na style yake ya kunyoa Kipara muda wote na macho makali yenye umakini awapo uwanjani.
Anatajwa kama Refarii bora wa wakati wote katika mchezo wa soka.
Madenge. Mambo mengine ni kuyapotezea tu. Huyu dogo naye atakuja na kwenda. Walikuwepo akina Lyatonga Mrema na hii impromptu justice wakivuma sana mpaka kuundiwa cheo kisichokuwepo cha naibu Waziri Mkuu. Walifika wapi? Kuna kitu kinachotaka kufanywa na kikikamilika basi utaona mambo yanapoa menyewe. Matamko mangapi alishatoa lakini hakuna hata moja lililofanikiwa?Jamani nimekerwa sana na hizi nyodo na mikwara ya kondakta
Duh kajamaa kameanza dharau eti ooh nina mamlaka ya kumfukuza mtu Dar....yaani jamaa kavimba kichwa angeonesha badi kifungu cha Sheria kinachompa hayo mamlaka
Mara ooh kukutwa umetumia dawa za kulevya ni jela miaka mi3 ....hapa pia hajataja kifungu (najua Sheria inatoa adhabu ya Fine au kifungo au vyote kwa pamoja) lakini hakuna mambo ya kupimana maana watu huweza hata kuwekeana kwa makusudi
Haka kajamaa huwa kanaropoka tu utafikiri nchi nzima ni mambumbumbu
A dunderhead
...........
Tatizo alijiona anajua, alipaswa awaachie mashabiki hiyo kazi1994 - Memphis Depay anazaliwa.
Winga wa kiholanzi wa zamani wa Man Utd ambaye kwasasa anakipiga Lyon.
Moja kati ya wachezaji " Mabishoo " katika soka la kisasa.
Licha ya kusajiliwa kwa mbwembwe nyingi Man Utd, aliishia kuchemsha vibaya.
Hao ndio marais wa Afrika, jamaa ana urafiki wa nguvu sana na Ufaransa.Nusu ya mwaka huwa anakula bata uswisi na ufaransa
Trump upoHabari zenu wakuu
Asante mkuu mussolin kwa leo katika historiaLeo katika Historia:
Tukutane kesho wakuu. Jioni njema.
Na alivimba kichwa zaidi baada ya kufananishwa na CR7Tatizo alijiona anajua, alipaswa awaachie mashabiki hiyo kazi
Hii red card ndio aliyompatia Kruvet mwaka 1998 kombe la Dunia
Ile fainali ya Uefa Champions League mwaka 1999 kati ya United na Bayer refa alikuwa yeye.Namkubali sana collina, hasa word cup ya 1998 Ufaransa
Nimekatazwa kumtaja lakini ukifuatilia mjadala alishajulikana. Na mwenyewe nina uhakika anajua (japo kujua na kutojua na thamani ya kila kimoja katika wakati wake ndo tatizo). Uhai na kuwako! Kutokuwepo, ombwe na vimulimuli bandia! Uwiii!!!Mtaje tu
ObeHahhahah pole sana msukuma
Kajinga sana hako kajamaaJamani nimekerwa sana na hizi nyodo na mikwara ya kondakta
Duh kajamaa kameanza dharau eti ooh nina mamlaka ya kumfukuza mtu Dar....yaani jamaa kavimba kichwa angeonesha badi kifungu cha Sheria kinachompa hayo mamlaka
Mara ooh kukutwa umetumia dawa za kulevya ni jela miaka mi3 ....hapa pia hajataja kifungu (najua Sheria inatoa adhabu ya Fine au kifungo au vyote kwa pamoja) lakini hakuna mambo ya kupimana maana watu huweza hata kuwekeana kwa makusudi
Haka kajamaa huwa kanaropoka tu utafikiri nchi nzima ni mambumbumbu
A dunderhead
...........
Don't overdo it. Stay focused! Ajenda ikikamilika kutakuwa shwariiiiiiiii!!!Tunapelekwa Chatto
Kesho utasikia nina mamlaka ya kumuamuru mwanaDSM yoyote yule nikijisikia aje nyumbani kwangu apige deki
![]()
![]()
...........
HakikaHaki ya nani una bahati Shunie. PM yako isingekuwa blocked sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine. Msukuma huwa sishindwi haya mambo nikiamua na si ajabu sasa hivi ungekuwa unanyonya Margarita ukiwa kwenye heated indoor swimming pool Maryland. Yule mwenye empire angepiga makelele weeee lakini mwishowe angelala. Kutesa kwa zamu ati!
===>Tucheke jamani ili angalau tuongeze siku za kuishi. Makapukuz foreva and eva!!!
Yako poa kabisa shemela, Lee mzima, mpe himiss u too shemela mambo yako
Obe wa nn tena
Hahahhah nipo mkuu mzimaTrump upo