Makapuku Forum

Makapuku Forum

1933 - Paul Biya anazaliwa.

Ni Rais wa pili wa Cameroon ambaye ndiye aliyepo Madarakani sasa.

Ameshika Madaraka ya Urais kuanzia mwaka 1982 mpaka sasa amabapo ni sawa na miaka 35 akiwa madarakani.

Ni moja kati ya Marais wa Afrika waliokaa sana Madarakani na anayetawala Kidikteta kwa Mkono wa Chuma kando ya Museveni na Robert Mugabe.
Nusu ya mwaka huwa anakula bata uswisi na ufaransa
 
1960 - Pierluigi Collina anazaliwa.

Refarii wa zamani kutoka nchini Italia aliyekuwa pia mwamuzi wa kimataifa aliyetambulika na FIFA.

Alijipatia Umaarufu kutokana na style yake ya kunyoa Kipara muda wote na macho makali yenye umakini awapo uwanjani.

Anatajwa kama Refarii bora wa wakati wote katika mchezo wa soka.
Namkubali sana collina, hasa word cup ya 1998 Ufaransa
 
Jamani nimekerwa sana na hizi nyodo na mikwara ya kondakta
Duh kajamaa kameanza dharau eti ooh nina mamlaka ya kumfukuza mtu Dar....yaani jamaa kavimba kichwa angeonesha badi kifungu cha Sheria kinachompa hayo mamlaka

Mara ooh kukutwa umetumia dawa za kulevya ni jela miaka mi3 ....hapa pia hajataja kifungu (najua Sheria inatoa adhabu ya Fine au kifungo au vyote kwa pamoja) lakini hakuna mambo ya kupimana maana watu huweza hata kuwekeana kwa makusudi

Haka kajamaa huwa kanaropoka tu utafikiri nchi nzima ni mambumbumbu
A dunderhead
...........
Madenge. Mambo mengine ni kuyapotezea tu. Huyu dogo naye atakuja na kwenda. Walikuwepo akina Lyatonga Mrema na hii impromptu justice wakivuma sana mpaka kuundiwa cheo kisichokuwepo cha naibu Waziri Mkuu. Walifika wapi? Kuna kitu kinachotaka kufanywa na kikikamilika basi utaona mambo yanapoa menyewe. Matamko mangapi alishatoa lakini hakuna hata moja lililofanikiwa?

Suala hili la sasa ni tete sana na dunia nzima linawakunisha vichwa na kamwe halitamalizwa kwa kiki za kisiasa, ajenda za siri na michezo angamizi isiyofuata utaratibu wala mihimili ya kisheria . Mimi namuunga mkono sana na kijamii naona amefanikiwa kuwasha moto japo ni wa mabua. Ngoja pepo zivume sasa na dhoruba za wahusika zimshukie ndo utaona. Jipe muda na kamwe kabisa kabisa usimwamini mwanasiasa hata kama ni dingi wako!
 
4785730540e7925bed294c8687b0dce7.jpg
fcb5319b70f9d849261df38bbbaddfd0.jpg
c5175705decdf0aa1ae529b2f1cd05c7.jpg
2be50a38a9d2b58764bada5630b3b74a.jpg
Hii red card ndio aliyompatia Kruvet mwaka 1998 kombe la Dunia
 
Jamani nimekerwa sana na hizi nyodo na mikwara ya kondakta
Duh kajamaa kameanza dharau eti ooh nina mamlaka ya kumfukuza mtu Dar....yaani jamaa kavimba kichwa angeonesha badi kifungu cha Sheria kinachompa hayo mamlaka

Mara ooh kukutwa umetumia dawa za kulevya ni jela miaka mi3 ....hapa pia hajataja kifungu (najua Sheria inatoa adhabu ya Fine au kifungo au vyote kwa pamoja) lakini hakuna mambo ya kupimana maana watu huweza hata kuwekeana kwa makusudi

Haka kajamaa huwa kanaropoka tu utafikiri nchi nzima ni mambumbumbu
A dunderhead
...........
Kajinga sana hako kajamaa
 
Haki ya nani una bahati Shunie. PM yako isingekuwa blocked sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine. Msukuma huwa sishindwi haya mambo nikiamua na si ajabu sasa hivi ungekuwa unanyonya Margarita ukiwa kwenye heated indoor swimming pool Maryland. Yule mwenye empire angepiga makelele weeee lakini mwishowe angelala. Kutesa kwa zamu ati!

===>Tucheke jamani ili angalau tuongeze siku za kuishi . Makapukuz foreva and eva!!!
Hakika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom