Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Memphis PapaiNa alivimba kichwa zaidi baada ya kufananishwa na CR7
.......
Memphis PapaiNa alivimba kichwa zaidi baada ya kufananishwa na CR7
Hana uwezo wa kunifukuza
Atishe wasiojua Sheria tu
Mimi najua hadi Sheria za kimila hanibabaishi huyo kiazi
.......
Ninabashiri tuObe kawa msukuma tena
Lee yupo![]()
Simba mpo?
........
Pamoja mkuuAsante mkuu mussolin kwa leo katika historia
Tatizo ni kwamba hatujui lengo lake ni nini. Pengine hata wakimtoa lengo lake litakuwa limeshatimia. Kumbuka tayari ni tajiri wa kutupwa (kama yaliyosemwa bungeni ni kweli!). Siasa ni kama mchezo wa chess. I hope anajua anachofanya!
Huwa nachungulia chunguliaKule ndo nyumbani mkuu karibu sna
cc: SHIMBA YA BUYENZEMwache woga wake umaskini wake![]()
![]()
Hana uwezo wa kunifukuza
Atishe wasiojua Sheria tu
Mimi najua hadi Sheria za kimila hanibabaishi huyo kiazi
.......
Yaaaaah asante kwa kulitambua hiloI know baby ila maua mwachie johnson![]()
Mkuu hata Sheria za kimila haziwezi kushindana na Sheria za nchi/written laws kamwe sema tu kijijini watu hawajui Sheria nfio maana wanapelekeshwa tu km ng'ombeSeriously, approach aliyotumia kwanza si sahihi na ina gharama kubwa. Hii inaweza fanywa na kiongozi wa kiimla tu na bahati mbaya sana hatunaye hapa hata kama atajitangaza kuweza kufanya analotamani kufanya.
Kajamaa ukikaangalia kanajilinganisha na kufanya mambo ya kiMedici zama za Florence ambapo wanajifanya kuwa karibu na umma huku wakinufaisha wao zaidi. Matamko yake na namna anavyoweza kuwashurutisha bila shuruti watu wenye taaluma ( likiwemo kundi la maaskari na wanausalama) kutimiza ndoto zao za kifisi.
Yana Mwisho, aliandika Shafi lakini mwisho hauwezi kama umma haujatambua kuwa una nguvu (social contract) dhidi ya maamuzi bila mashauriano.
Nway, makapuku ni sehemu bora kabisa ya kufurahia jukwaa
Muda utaongeaTatizo ni kwamba hatujui lengo lake ni nini. Pengine hata wakimtoa lengo lake litakuwa limeshatimia. Kumbuka tayari ni tajiri wa kutupwa (kama yaliyosemwa bungeni ni kweli!). Siasa ni kama mchezo wa chess. I hope anajua anachofanya!
Poa jembe langu hope uko poa make shemela alikumisNiaje Lee
Haki ya nani una bahati Shunie. PM yako isingekuwa blocked sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine. Msukuma huwa sishindwi haya mambo nikiamua na si ajabu sasa hivi ungekuwa unanyonya Margarita ukiwa kwenye heated indoor swimming pool Maryland. Yule mwenye empire angepiga makelele weeee lakini mwishowe angelala. Kutesa kwa zamu ati!
===>Tucheke jamani ili angalau tuongeze siku za kuishi. Makapukuz foreva and eva!!!
lee

Huwezi baby hii automaticHahahhhh unanitamanisha sijui nibadili gia angani![]()
Kweli mkuu ,inaboa sanaTunapelekwa Chatto
Kesho utasikia nina mamlaka ya kumuamuru mwanaDSM yoyote yule nikijisikia aje nyumbani kwangu apige deki
![]()
![]()
...........
Daaaaadeeeewekiiiii hupati kitu hapaNimekatazwa kumtaja lakini ukifuatilia mjadala alishajulikana. Na mwenyewe nina uhakika anajua (japo kujua na kutojua na thamani ya kila kimoja katika wakati wake ndo tatizo). Uhai na kuwako! Kutokuwepo, ombwe na vimulimuli bandia! Uwiii!!!
Hahahha poa mkuu pamoja sanaHuwa nachungulia chungulia
Shemela wake shunie ,kumbe na wewe umeshtukia mchezo??Nimeishausoma mchezo
Niko poa kabisa mtoto wa MaoPoa jembe langu hope uko poa make shemela alikumis