Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
Shtuka mali zako zinaibwaMshenga vipi ??
Sina tatizo na wewe![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Shtuka mali zako zinaibwaMshenga vipi ??
Sina tatizo na wewe![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

mambo flem zilowNani wa kulisimamisha wakati wananchi hatuna mshikamano na uthubutu???Unajua. Wanahistoria wanaweza kukupa mifano mingi ya viongozi waliopindisha sheria ili kuweza kuleta mabadiliko waliyoyataka. Historia ina huruma sana kwa viongozi waliofanya hivyo ili kuleta mabadiliko chanya kwa watu wao. Kwa bahati mbaya mifano mingi ni negative na wengi baada ya kuonja absolute power iliwawia vigumu kurudi nyuma kwenye utawala wa sheria na nidhamu. Na hawa historia ina tabia ya kuwatupa katika shimo la takataka!
Jambo linalonishangaza mimi na hata kunitia wasiwasi ni kutojali hata pale ambapo angeweza kujipatia pointi za bure kisiasa. Mfano, mambo yaliyofanyika baada ya tetemeko la ardhi Kagera yalinishangaza sana. Anyway, tumo barabarani na safari ni lazima iendelee. Si vibaya wasafiri wakilisimamisha gari na kudai waelekezwe wapi wanapelekwa hasa kama wanahisi wanakopelekwa ndiko-siko. Ni haki yao!
Kwei makondeko kakushika pabaya mpaka unalala mida ya kuku!!!![]()
![]()
![]()
Nimeamua kuwawish mapema
Kesho ni Siku ya Wapendanao japo siku hizi imepotoshwa
Tukutane kesho waungwana
...............

Hajapanic msukumaacha kupanic bwana wote waelewa hapa
Usiniaibishage Bhana kuja kwenu na kuwacha Byashala zangu unataka mubadili gia mu anga!!!mimi ndio![]()
Mkuu mwenyewe mzee, mshenga at tme huwa unapoint kuliko nondo za bold ila tujifanye hii weak point
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

UmuachieNoooo plz mbona kama mkuu hujazoea utani wetu humu ,usiwaze vibaya jokes kama kawaida
Au nikuachie kwa mda![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hupati kitu hapa

Haaaahaaaa uzalendoUsiniaibishage Bhana kuja kwenu na kuwacha Byashala zangu unataka mubadili gia mu anga!!!
Bwanaaaaabwanaaaah mshenga aamua kutoa checheUsiniaibishage Bhana kuja kwenu na kuwacha Byashala zangu unataka mubadili gia mu anga!!!

Usiniaibishage Bhana kuja kwenu na kuwacha Byashala zangu unataka mubadili gia mu anga!!!



NakujaDuuuuuuuuh ndukiiiii![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Shunie njoo tulale
Hahhahah uchunguHaaaahaaaa uzalendo
Yes baby njooo unimalizie kale ka storyNakuja
Kama ni hivyo basi kuna wa kulaumiwa? Pengine maajabu yatokee paka wenyewe wakinai kuwamung'unya panya bila kufungwa kengele au dereva mwenyewe abadili welekeo kwa hiari yake. Yote yawezekana ati! Haya mambo wakati mwingine ni magumu na yako complicated sana....Nani wa kulisimamisha wakati wananchi hatuna mshikamano na uthubutu???
Ni kweli. Msukuma orijino tena wa Ntuzu hawezi kupanick bwana. Uungwana kamwe usichanganywe wala kufananishwa na hofu!!!Hajapanic msukuma