Makapuku Forum

Makapuku Forum

1960 - Pierluigi Collina anazaliwa.

Refarii wa zamani kutoka nchini Italia aliyekuwa pia mwamuzi wa kimataifa aliyetambulika na FIFA.

Alijipatia Umaarufu kutokana na style yake ya kunyoa Kipara muda wote na macho makali yenye umakini awapo uwanjani.

Anatajwa kama Refarii bora wa wakati wote katika mchezo wa soka.
4785730540e7925bed294c8687b0dce7.jpg
fcb5319b70f9d849261df38bbbaddfd0.jpg
c5175705decdf0aa1ae529b2f1cd05c7.jpg
2be50a38a9d2b58764bada5630b3b74a.jpg
 
Jamani nimekerwa sana na hizi nyodo na mikwara ya kondakta
Duh kajamaa kameanza dharau eti ooh nina mamlaka ya kumfukuza mtu Dar....yaani jamaa kavimba kichwa angeonesha badi kifungu cha Sheria kinachompa hayo mamlaka

Mara ooh kukutwa umetumia dawa za kulevya ni jela miaka mi3 ....hapa pia hajataja kifungu (najua Sheria inatoa adhabu ya Fine au kifungo au vyote kwa pamoja) lakini hakuna mambo ya kupimana maana watu huweza hata kuwekeana kwa makusudi

Haka kajamaa huwa kanaropoka tu utafikiri nchi nzima ni mambumbumbu
A dunderhead
...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom