Makapuku Forum

Makapuku Forum

Acha kujishtukia mkuu. Kumbuka kwamba
c1b196eb9d11e8381b9cb5177e0f1593.jpg
Ahaaaaaaaah sio kwa wote
 
Jamani nimekerwa sana na hizi nyodo na mikwara ya kondakta
Duh kajamaa kameanza dharau eti ooh nina mamlaka ya kumfukuza mtu Dar....yaani jamaa kavimba kichwa angeonesha badi kifungu cha Sheria kinachompa hayo mamlaka

Mara ooh kukutwa umetumia dawa za kulevya ni jela miaka mi3 ....hapa pia hajataja kifungu (najua Sheria inatoa adhabu ya Fine au kifungo au vyote kwa pamoja) lakini hakuna mambo ya kupimana maana watu huweza hata kuwekeana kwa makusudi

Haka kajamaa huwa kanaropoka tu utafikiri nchi nzima ni mambumbumbu
A dunderhead
...........
Tundu Lissu kashamjibu kwamba hana mamlaka ya kuhamisha watu ila hofu yangu ni kuwa nchi hii siku hizi haiendeshwi kwa misingi ya kisheria bali kwa maamuzi na matakwa ya mtu binafsi.
 
Jamani nimekerwa sana na hizi nyodo na mikwara ya kondakta
Duh kajamaa kameanza dharau eti ooh nina mamlaka ya kumfukuza mtu Dar....yaani jamaa kavimba kichwa angeonesha badi kifungu cha Sheria kinachompa hayo mamlaka

Mara ooh kukutwa umetumia dawa za kulevya ni jela miaka mi3 ....hapa pia hajataja kifungu (najua Sheria inatoa adhabu ya Fine au kifungo au vyote kwa pamoja) lakini hakuna mambo ya kupimana maana watu huweza hata kuwekeana kwa makusudi

Haka kajamaa huwa kanaropoka tu utafikiri nchi nzima ni mambumbumbu
A dunderhead
...........
Hii nchi sijui tunapelekwaje kila mtu mikwara
 
Hahhahah pole sana msukuma
Haki ya nani una bahati Shunie. PM yako isingekuwa blocked sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine. Msukuma huwa sishindwi haya mambo nikiamua na si ajabu sasa hivi ungekuwa unanyonya Margarita ukiwa kwenye heated indoor swimming pool Maryland. Yule mwenye empire angepiga makelele weeee lakini mwishowe angelala. Kutesa kwa zamu ati!

===>Tucheke jamani ili angalau tuongeze siku za kuishi . Makapukuz foreva and eva!!!
 
Haki ya nani una bahati Shunie. PM yako isingekuwa blocked sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine. Msukuma huwa sishindwi haya mambo nikiamua na si ajabu sasa hivi ungekuwa unanyonya Margarita ukiwa kwenye heated indoor swimming pool Maryland. Yule mwenye empire angepiga makelele weeee lakini mwishowe angelala. Kutesa kwa zamu ati!

Tucheke jamani ili angalau tuongeze siku za kuishi . Makapukuz foreva and eva!!!
Hahahhhh unanitamanisha sijui nibadili gia angani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom