Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Ahaaaaaaaah sio kwa woteAcha kujishtukia mkuu. Kumbuka kwamba![]()
![]()
![]()
Ahaaaaaaaah sio kwa woteAcha kujishtukia mkuu. Kumbuka kwamba![]()
![]()
![]()
Tundu Lissu kashamjibu kwamba hana mamlaka ya kuhamisha watu ila hofu yangu ni kuwa nchi hii siku hizi haiendeshwi kwa misingi ya kisheria bali kwa maamuzi na matakwa ya mtu binafsi.Jamani nimekerwa sana na hizi nyodo na mikwara ya kondakta
Duh kajamaa kameanza dharau eti ooh nina mamlaka ya kumfukuza mtu Dar....yaani jamaa kavimba kichwa angeonesha badi kifungu cha Sheria kinachompa hayo mamlaka
Mara ooh kukutwa umetumia dawa za kulevya ni jela miaka mi3 ....hapa pia hajataja kifungu (najua Sheria inatoa adhabu ya Fine au kifungo au vyote kwa pamoja) lakini hakuna mambo ya kupimana maana watu huweza hata kuwekeana kwa makusudi
Haka kajamaa huwa kanaropoka tu utafikiri nchi nzima ni mambumbumbu
A dunderhead
...........
Hii nchi sijui tunapelekwaje kila mtu mikwaraJamani nimekerwa sana na hizi nyodo na mikwara ya kondakta
Duh kajamaa kameanza dharau eti ooh nina mamlaka ya kumfukuza mtu Dar....yaani jamaa kavimba kichwa angeonesha badi kifungu cha Sheria kinachompa hayo mamlaka
Mara ooh kukutwa umetumia dawa za kulevya ni jela miaka mi3 ....hapa pia hajataja kifungu (najua Sheria inatoa adhabu ya Fine au kifungo au vyote kwa pamoja) lakini hakuna mambo ya kupimana maana watu huweza hata kuwekeana kwa makusudi
Haka kajamaa huwa kanaropoka tu utafikiri nchi nzima ni mambumbumbu
A dunderhead
...........
I know baby ila maua mwachie johnsonYou know my bebez how I love u![]()
![]()
![]()

Niaje LeeBhinamu Kwan mjomba wako huwa anakoseaga ??
Mlinzi upoSwadakta
hahahhhhhMwache woga wake umaskini wake![]()
![]()
Frem zero mambo vipHahahaaaa
Nawe piaMorning wakuu!
Nawatakia siku njema wote.
Haki ya nani una bahati Shunie. PM yako isingekuwa blocked sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine. Msukuma huwa sishindwi haya mambo nikiamua na si ajabu sasa hivi ungekuwa unanyonya Margarita ukiwa kwenye heated indoor swimming pool Maryland. Yule mwenye empire angepiga makelele weeee lakini mwishowe angelala. Kutesa kwa zamu ati!Hahhahah pole sana msukuma





. Makapukuz foreva and eva!!!Shemela uko poa lakini, nimekumiss sana shemela wangu
Ndio hivyoimemtokea nn
Hahahhhh unanitamanisha sijui nibadili gia anganiHaki ya nani una bahati Shunie. PM yako isingekuwa blocked sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine. Msukuma huwa sishindwi haya mambo nikiamua na si ajabu sasa hivi ungekuwa unanyonya Margarita ukiwa kwenye heated indoor swimming pool Maryland. Yule mwenye empire angepiga makelele weeee lakini mwishowe angelala. Kutesa kwa zamu ati!
Tucheke jamani ili angalau tuongeze siku za kuishi. Makapukuz foreva and eva!!!

miss u too shemela mambo yakoShemela uko poa lakini, nimekumiss sana shemela wangu
Afande vipAaanhaaa nilikuwa sijakupata![]()
![]()
![]()
Mtaje tuKuna binti mmoja kapuku anaupelekesha moyo wangu jamani. Nimtaje nisimtaje?![]()
Pamoja sanaRatiba iko poa kwasasa, nataka niirudishe segment yetu ili tuendelee kujuzana mambo mbalimbali.
HaaaaaahaaaaaaAcha kujishtukia mkuu. Kumbuka kwamba![]()
![]()