Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Msalimiee shemelaMorning wakuu!
Nawatakia siku njema wote.
Msalimiee shemelaMorning wakuu!
Nawatakia siku njema wote.
Namaanisha Parachichi ni a.k.a. yake hilo bomu la kurusha kwa mkonoJaribu kunizingua uone
Namaanisha Parachichi ni a.k.a. yake hilo bomu la kurusha kwa mkonoJaribu kunizingua uone
Aaanhaaa nilikuwa sijakupataNamaanisha Parachichi ni a.k.a. yake hilo bomu la kurusha kwa mkono



Mweh Mweh Mweh!!!Kuna binti mmoja kapuku anaupelekesha moyo wangu jamani. Nimtaje nisimtaje?![]()
USIMTAJEESalama le diktata, Karibu sana.....naona ratiba kidogo imeachiaZa asubuhi wakuu, kumekucha.
Leo katika Historia inarudi rasmi, tuonane baadae kidogo.
Naombeni sapoti yenu.

Mtaje ila hasiwe .....Kuna binti mmoja kapuku anaupelekesha moyo wangu jamani. Nimtaje nisimtaje?![]()
Utajibu kesi mukongo shemela lake pendwa shunieMweh Mweh Mweh!!!![]()
USIMTAJEE

Ratiba iko poa kwasasa, nataka niirudishe segment yetu ili tuendelee kujuzana mambo mbalimbali.Salama le diktata, Karibu sana.....naona ratiba kidogo imeachia![]()
Pamoja BablaiRatiba iko poa kwasasa, nataka niirudishe segment yetu ili tuendelee kujuzana mambo mbalimbali.
Yeah, Collina alikuwa bonge la refa1960 - Pierluigi Collina anazaliwa.
Refarii wa zamani kutoka nchini Italia aliyekuwa pia mwamuzi wa kimataifa aliyetambulika na FIFA.
Alijipatia Umaarufu kutokana na style yake ya kunyoa Kipara muda wote na macho makali yenye umakini awapo uwanjani.
Anatajwa kama Refarii bora wa wakati wote katika mchezo wa soka.