Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,278
- 35,639
....sema tu kweli, umeishia darasa la 5A na ulikuwa monitaNdio ni muhuni fulani hivi aliyeishia darasa la 5
....sema tu kweli, umeishia darasa la 5A na ulikuwa monitaNdio ni muhuni fulani hivi aliyeishia darasa la 5
Kwa udhamini mkubwa wa Queen Kan yafuatayo ni magazeti ya udakuMorning....hivi magazeti ya udaku hamuweki wakuu?
mukulu si kasema hamuna njaa na jana ile bana ingine nasema chakula ipo mingi kwa ghala ya taifa!

Pappaa mutu ya mielaaa iko uko poa ??
Wanaume suruali wengi sana mleeIla linakera halafu halieleweki
Asante sanaa mkuuKwa udhamini mkubwa wa Queen Kan yafuatayo ni magazeti ya udaku![]()
![]()
![]()
![]()
Shukran ameshaweka...ngoja nikuitie lee empire aje akutilie unavyotaka
Mambo iko bien PapaaPappaa mutu ya mielaaa iko uko poa ??

Asante na wewe pia kwa kutukumbushaAsante sanaa mkuu
Noted mkuuAsante na wewe pia kwa kutukumbusha
Mukongo vp
Uchochezi huo sasamukulu si kasema hamuna njaa na jana ile bana ingine nasema chakula ipo mingi kwa ghala ya taifa!
Kajala katoa kali aiseeKwa udhamini mkubwa wa Queen Kan yafuatayo ni magazeti ya udaku![]()
![]()
![]()
![]()
RIPLeo katika historia; Leo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa aliyekuwa bingwa wa ngumi za uzito wa juu duniani, Muhammad Ali aliyefariki June 3, 2016.
Tupia neno [HASHTAG]#RIP[/HASHTAG] kumtakia mapumziko ya amani![]()
Mmh we umejuaje wanachukuana?Halafu kama ulikuwa hujui hii forum ni dating center nzuri sana,watu wanachukuana kishenzi shenzi tu hata badoo haioni ndani!!......
hahaNdio ni muhuni fulani hivi aliyeishia darasa la 5
Yani acha tu, kila nikiingia humu chitchat nakuta thread hii inatembeaa mbayaa.
Afu hao wachanguaji sasa, yaani wahuni wahuni flani hivii.
Michango imekaa kitoto, inaboa, inakeraa.
Mods ondoa bhana hii thread, aagrrrhrriihh!!
Nitaua mtu aisee.